Kuna jambo nilitaka kusema kuhusu hizi tabia za Makonda kuropoka ropoka na kuzifananisha na kijana mmoja akiyeathirika baada ya kufanyiwa unyanyasaji na mabasha huko Mombasa lakini nimeahirisha kwani itakuwa personal assassination
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujambo?
Upinzani wa hovyo mno, eti kukimbia wajibu wao wa kibunge ndio approach yao ya kuwafikisha ikulu.