Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani itakuwa ni mara ya kwanza kwa wabunge wa chadema kukamatwa?Katumwa na bosi asiyetumia akili. Hayo ni moja ya maamuzi ya kijinga sana kutaka kutumia sheria za RC kuweka ndani watu.
Nadhani Chadema sasa watumie CIVIL DISOBEDIENCE endapo kuna mbunge yeyote atakamatwa.
Sitashangaa kama ofisi za umma zitavamiwa na kuchomwa maana RAIA wamekasirika. Vituo vya mafuta jee? Nadhani jiji likichafuka dunia nzima itajiuliza kunani huko Tanzania?...
Huyu jamaa kakosa kaziHii nchi ina vituko vya kila aina. Sasa kiumbe kama huyu kesho akipoteza hayo madaraka yanayompa kiburi atakuwa mgeni wa nani?
View attachment 1441428
Hakuna kosa lililofanywa hapo kisheria. Huyu anawapa kazi watu wanaoshughulika na sheria huko kaziniNyie wahuni lazima mkamatwe mmekimbia kujadili bajeti ya Wananchi mnashida club
Sio kosa...ndo maana ya Uhuru Wa watuWabunge wa Chadema ni wahuni
Wamekimbia majukumu wanakula bata dar
Ila si wapo karantini? Daah, sometimes huwa nawaza sijui wengine huwa wataishi milele?
Nashauri viongozi wawe na akiba ya maneno
Chadema wamedanganya Watanzania wanajifungia Leo hii wanaonekana dar wakila bata
Makonda kamata hao wachumia tumbo wakae selo