LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Yaani ningekuwa Mimi ndo niliyemteua ningefukuzulia mbali. Huyu anatia aibu serikali, anashindwa kujua hata majukumu yake.Makonda utaacha lini upopoma? Makonda mdogo wangu utaishi dunia gani wewe Makonda Makonda Makonda funga kinywa chako uwe na heshima zaidi.. umekuwa kama dudu washawasha linaputisha kila kitu shame on you