Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Suala alilolianzisha siku chache zilizopita la kusaka walanguzi wa sukari Mkoani Dar es Salaam limeshindika , hii ni kwa sababu DSM hakuna sukari madukani , hivyo haiwezekani kukamata ulanguzi wa bidhaa ambayo haipo .
Baada ya hili kumshinda sasa ameamua kuhamisha mada na kuiburuzia kwenye kuwakamata wabunge wa Chadema kwa tuhuma zinaitwa uzurulaji , Makonda binafsi hana uwezo huo na wala Lazaro Mambosasa , ambaye imejulikana anatii kila analotumwa na Makonda pia hana uwezo huo .
Mamlaka ya Uteuzi inapaswa kutathmini kama Makonda bado anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa , vinginevyo ni kujitafutia kudhalilika pamoja naye .
Baada ya hili kumshinda sasa ameamua kuhamisha mada na kuiburuzia kwenye kuwakamata wabunge wa Chadema kwa tuhuma zinaitwa uzurulaji , Makonda binafsi hana uwezo huo na wala Lazaro Mambosasa , ambaye imejulikana anatii kila analotumwa na Makonda pia hana uwezo huo .
Mamlaka ya Uteuzi inapaswa kutathmini kama Makonda bado anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa , vinginevyo ni kujitafutia kudhalilika pamoja naye .