RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Eti clips za nini!?

Post namba moja haina kitu, endeleeni kutengeneza mkimaliza rusheni.

Makonda oyeeeee
 
Kitaeleweka tu, Gwajima kwa uwezo alonao akalale na huyo msukule kweli, watoto kibao wakali wanakwenda kwake kusali
 
kesho sijui jibaba ata display footage mazabauni ?? ngoja tusubiri tuone
 
Amuonyeshe nani? Wewe?
Sijui kama unajua makonda ni mtumishi wa uma,? Mwananchi anapomshuku kiongozi amefoji vyeti, kiongozi ndo anawajibu wa kukanusha tuhuma na kuweka vyeti og hadharani ili kujisafisha"
Hili la bashite litamtokea puani tu, hana vyeti" angekuwa navyo na anavopendaga sifa...we unafikiriaje!? Angevionyesha kitaaambo.
 
kama ni kweli wakome tena kawatishia tu ilibidi hata kama angeza angewa**** tu maana wamezidi umbeya kama siyo wanaume hivi
 
Hiki kipindi huwa kinsrushwa kwenye studio za choice fm na sio clouds japo clouds na choice ni kitu kimoja. Pia yule mama kadai km anamsingizia gwaji basi wakapime DNA.
 
Me nakubaliana nawewe,lakini kuna swali la msingi hapa!!!! Kwann habari iwe ya upande mmoja tu na cyo pande zote mbili km ilivyo ada ya Shilawadu?
 
daah ila huyu ma!nge aombage asije kukama.twa akiwa hai aisee make raia nahisi watamch!una ngo!zi na watalazimisha kuivaa mbele yake, sio kwa upumb.avu anaoufanya
Hakuna raia atakayemzudhuru labda hao watawala wenu. We love Mange
 
DNA kwa mkemia wa serikali itachakachuliwa fasta ooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…