RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Una bisha n nn wkt hyoo mzee mkavu nakaa nayee tabataa na kaniambiaa n kwelii jamaa alifanyaa hvyoo
 
Hii movie sasa inaelekea mwisho
 
Hahaha
Jamaa akapigwa na "kitako" cha SMG[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sometimes background ya mtu ina-determine future ya ubongo wake.

Arejee IGP vs mfanyakazi wake wa ndani. Kipimo cha DNA ndo kila kitu ila na yy atoe matokeo yake ya necta
 
sasa kaka habari kama hii unasema hata tukihitaji footage zipo? unadhani kweli kwa habari hii footage hatuhitaji? hebu zitupie kaka ili kusupport uzi wako
 
Kina sufi walikosea kweli yani.
Wangemuweka hewani wakati kipindi kikiwa kinarushwa mattako yake kweli bashite hatumii akili na ndio maana ana zero.
Mtu mwenye zero mnadhani anatumia akili kufanya mambo yake??
Sasa hivi akili kisoda nguvu debe.
Pumbavu sana bashite na tako lake
 
Kama hizi taarifa zina ukweli..Basi Makonda hastahir kabisa kuwa mkuu wa mkoa..make hana ata Mbinu za kutengeneza tukio bila yeye kuwepo..Mimi naomba aombe tumshaur cha kufanya..Ushaur wa kwanza "AJIUZURU" alafu mengine tutamshaur akiwa kando.
 
Weka footage ya camera for chrissake! Kama ni criminal issue of that calibre so mwende mkaripoti!
 

Haya ndiyo malipo ya Unafiki wa Clouds Media Group hasa Ruge kwa kushirikiana na Makonda ambaye leo anambadilikia. Tuliyasema na kuyaona haya mapema sana ila tukadharauliwa sasa Mwenyezi Mungu anatujibia. Na hapo bado!
 
Vita ya vyeti haina chama tena wengi wanaodai vyeti ni CCM wenyewe umesahau kuwa juzi Dodoma mmewafukuza CCM kibao kwani JF hawapajui?
Yapo hapo umenena mkuu, wanaomtetea makonda hawajielewi" hii vita ya vyeti iliasisiwa na mh. Rais magufuli, wakatumbuliwa wafanyakazi wengi tu, na wizara ikasema ni zoezi endelevu. Na kwamba mwenye taarifa kuwa kuna mfanyakazi asie na sifa ( vyeti) atoe taarifa na litashulikiwa ( kuchunguzwa) kumtetea makonda ni kumpinga mh raisi pamoja na dhana nzima ya uhakiki, ni sawa na kusema wote waliofukuzwa kwenye uhakiki wameonewa ( watoto wa kambo)
Atuonyeshe vyeti, tuendelee na hapa kazi tu! Asipoonyesha uwezekano wa kukimbia ofisi ni 100%!
 
Sawa baba Brandon
 
Me nakubaliana nawewe,lakini kuna swali la msingi hapa!!!! Kwann habari iwe ya upande mmoja tu na cyo pande zote mbili km ilivyo ada ya Shilawadu?
We jamaa wee una akili sana! Mkomalie akujibu. Ila nna uhakika hatokuwa na jibu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…