RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Mkuu mwaga hapa hapa jukwaani hizo footage tuone jinsi Bashite anavyotumia ubashite kulazamisha watu kuamini kuhusu vyeti.
 
Kutopata mtoto sio aibu bali ni aibu kiongozi wa kiroho kuzaa nje ya ndoa
 
Na hili mh raisi wala hakumung'unya maneno, aljsema wazi kabisa akuna kilaza ataesalimika na zoezi ni endelevu. Mh. Rais kama ulivomtumbua kitwanga kwa ulevi wa pombe, huyu nae ni mlevi wa madaraka ni wakati wa kumtumbua sasa, hakuna namna tena!
Kitwanga alithibitika makonda akithibitika atatambuliwa tu lkn sio kwa pressure ya mbaya wake gwajima.
 
Mtoa Uzi akili zako unazijua mwenyewe ...sasa unawezaje kumuunhanisha Makonda na hili sakata LA huyu mama ??????...acha unafiki bana. Wewe ulikuwepo hapo clouds ambako alikutana nao ? Kama unaushahidi uweke sio kuja na porojo porojo zako .
 
Bishop Akiguswa Clouds Watafunga Kituo
Huyo Hana Mchezo Mchezo
Wakijichanganya
Watajiuwa Clouds
Mbwembwe ..... Hana lolote ...nchi hii inaongozwa na serikali ilopo madarakani yenye jeshi na vyombo vya dola na usalama ....hatupo tayari kuona usalama wa taifa ukiyumbishwa na porojo zenu.. Sana sana Gwajima ndie mpotezaji tuuu .
 
Acha ubashite kwa sifa alizonazo ndugu yko angeita BBC na CNN kutangaza vyeti vyake
Lakini hana lolote yule ndo mana alikuwa analia makanisani na misikitini
Mwambie ndugu yko ma.vi anayoyatoa yanamchamfua JPM hata yy ananuka kwa sasa.
 
Acha ubashite kwa sifa alizonazo ndugu yko angeita BBC na CNN kutangaza vyeti vyake
Lakini hana lolote yule ndo mana alikuwa analia makanisani na misikitini
Mwambie ndugu yko ma.vi anayoyatoa yanamchamfua JPM hata yy ananuka kwa sasa.
Anuke au anukie haimzuii kuwa mkuu wa mkoa wala haimzuii jpm kuongoza
 
Kesho ntakaa.standby nisome watu wakivuliwa nguo
Yan wewe badala ujibu shutuma na kila uchao evidence zinatoka nzito
Unakuja na cheap accusations na zaid unaingia na kutishia watu ili wasambaze
Yan hapo umeudhihirishia umma kua yanayosemwa ni kweli
Sasa mmechokoza pasipochokozwa na zaid type za behaviour za mange sio kuingia kichwa kichwa kwa cheap acccusations kama unamrudishia kombora
Yatakayotoka kesho hakika watu mtatafutana
 
We unaongea tu, kwani ili vyombo vya usalama vichunguze jambo ni mpaka pawe na mlalamikaji? Humu mitandaoni wanaokamatwa kwa uchochezi ni nani anaeenda kufungua kesi? Tuhuma zingekuwa mbowe anawatoza ushuru machangudoa mdani ya casino lake" asinhechunguzwa!?
Wasiempanda ndo kawa rais wa wanasheria kazi wanayo!
 
Nyie ndo mabashite wengine, unatetea mpaka uozo.cjui kichwani umejaza nini?
Mimi ni mwanasheria ninaheshimu taaluma mtu yeyote ni innocent mpk mahakama iamue vinginevyo. Hakuna ushahidi wa convict makonda mpk upelekwe mahakamani na uthibitishwe kama utathibitishwa afungwe tu sina tatizo lolote lkn sio haki kumuhukumu kwa sababu yA maneno ya mgomvi wake.
 
Inategemea ni jambo gani na tuhuma zimetoka wapi na ushahidi wake unapatikanaje.

Kwa mfano kwanza kabisa aliyetoa tuhuma ni victim wa vita vya madawa ya kulevya hiyo peke yake inatia mashaka.

Pili ushahidi kuupata ni ngumu bila kuletwa na watu wanaotuhumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…