Unafikiri basi alikaa huko bondeni? Alikuwa Mikindani hapo kwa babu kurekebishwa ila naona haijafanya kazi.The guy is no longer in stable mental condition at the moment. Bora angeendelea tu na likizo yake huko kwa Madiba.
Mkuu wa polisi igp atoe ufafanuzi maana haya ni matumizi mabaya ya jeshi la polisi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee kwny upande wa Makonda dunia nzima mmebaki wewe ,Lemutuz na Magu, huwezi amini hadi mkewe naskia ameomba talaka asbh hii
Sniffing the truth hereAlafu hii ishu aliipanga na mkulu...sio Bashie pekeyake....maana haiwezi kuwa rahisi hivyo mkulu kuisifia shilawadu...in a week kikaja kioja hicho....mkulu alitaka watu tuamini habari za shilawadu...na tu-draw attension kwa habari za vipindi hivyo.
Shame on this uongozi
Kweli bana, footage iko kwa instagram bishop gwajima
Hahaaaa huyu mange nimemkubali kweli ni jeshi la mtu mmojaNaona clouds wameamua kuiachia hii video baada ya Mange kuwachimba biti atamwaga mchele kwenye kuku wengi!