RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Alafu hii ishu aliipanga na mkulu...sio Bashie pekeyake....maana haiwezi kuwa rahisi hivyo mkulu kuisifia shilawadu...in a week kikaja kioja hicho....mkulu alitaka watu tuamini habari za shilawadu...na tu-draw attension kwa habari za vipindi hivyo.

Shame on this uongozi

Kweli bana, footage iko kwa instagram bishop gwajima
Sniffing the truth here

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wako level ingine na hii ila huwa wanakujaga kwetu waki pretend ni kama wenzetu!
 
9321d046894592794bb95f8907063fcc.gif
 
Sasa movie is over!

Bashite amenaswa kwenye kamera za CCTV za clouds tv akiwa amevamia kituo na polisi na kulazimisha kurushwa hewani mkanda wa kutunga unao mwonyesha mama aliyezaa na Gwajima?

Clip hiyo sasa imenaswa na Mange na inaonyesha kila kitu

Atatokea wapi ktk sakata hili jipya?

The movie is over

The end
 
Nao sasa wamemchomekea kwa cctv hizo haruki! Kudadeki hi inaitwa vi wonder series wacha niongeze popcorn hawa viongozi wa sasa sijui wa kizazi kipi! Maana hatuna sampuli hii tz! Ila sasa wametamalaki
 
Back
Top Bottom