Ukiiona nijuzehiyo iko wapi mkuu! naomba uipandishe pls
cocochannel huwezi muona hapa ninamtafuta kweli nina zawadi yake popote alipo apatapo tarifa anitafuteNAMTAFUTA yule dada anayemteteaga huku Jf.
NAMTAFUTA yule dada anayemteteaga huku Jf.
Atakuwa kwenye maombiNa mimi sijamuona kabisa.
Ni kama kajitoa na jf
Tena fact zenye evidence nilitamani haka ka video kachelewe kidogo wavuliwe nguo kwanza waache kukumbatia wanafikiyule dada anatisha mkuu! sio kwa bit lile la jana alilowapa
Limeoza muda sa hivi ni mafinyo finyo yanatokaSwali la kujiuliza ?
Wale jamaa waliovaa ngwanda ni polisi?
Kama ni askari wa JWTZ basi jeshi limeoza...!