RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Mada zenu zisizo na mwelekeo wowote alfu mnasema bashite atamuharibia mkuu nchi seriously kbsa mnajaza tu uzi, acheni kutengeneza uadui nchi sisi wote ni watanzania, ndio maana hampewi nchi
 
Kuzaa ni URIJALI iwe ndani ya ndoa au nje ya NDOA........
Sasa wewe mtoto wa ndani ya ndoa huna....
Nje ya ndoa huna.......
Hata vyeti USIWE navyo...........
Wewe ni MWANAMUME au MVULANA??
Huruma sana !
 
Nimewatafakari sana nyinyi clouds, hiyo clip mmeitoa wenyewe kwenye Security camera yenu. Mnatufanya sisi wajinga. Hapa ni damage control tu. Namwomba Mange aendelee na nia ya kuwalipua wote, amwache yule mtoto tu Soudy Brown. Nyinyi ndio "brains" behind Makonda, nyinyi ndio masterminds, nyinyi ni puppet master.

Maxence Mello naomba uendelee kutulinda
 
Bora atulie tu. Maana anazidi kuharibu badala ya kujitetea sasa.

tatizo brand in Nape's voice
 
Mcharuko wa call me jay.....dogo sanaa sana. Mtu wa mishe mishe kinoma
 
Huyu jamaa alijisahau kwa muda mrefu saana alikuwa anaingilia privacy za watu kwa mgongo wa media pendwa....

Mara nyingi aliwakera watu weengi saana kwa maswali yake yasio na msingi....

Tabia zake za kich....ko ndicho kinachonifanya nifurahi zaiid kuzinguliwa kwake..... mtoto wa kiume unachezea ubuyu mdomoni... ndo nini??

Amevumiliwa saaana na watu weengi kwa kuogopa kupotezewa umaarufu wao kwenye media na kuhofia kufungiwa kazi zaoo....

Kagombanisha weewngi saana huyu mtu..... ametoa saana ubuyu leo kapewa yeye ubuyu analalamika....

Mask lilikuwa lilikuwa linamdanganya kwamba ndo ulinzi tosha kwa upuuzi wake.....
Leo yamemkuta na mask halikuwa na msaada wowote.


SHIRAWADU KASHIRADIWA.
 
Alafu inasemekana wameingia usiku lakni view ya nje inaonekana vizuri kama ni mchana vile
Hiyo ni black and white huwezi tofautisha mwanga wa taa na mchana ila kama una akili angalia kipindi kilichoko kwenye tv hurushwa saa ngapi
 
Cheza na wote ukigusa kwa gwajima unakwenda na majiiiii......soudy bado next time tutasema maovu yote! Shilawadu sasa amepewa mbabe wa vita itarushwa kila Jumapili live from ufufuo na uzima
 
Bashite ni hatari,Scorpion cha mtoto ati.!
Umenikumbusha na hii ishu ya scorpion! Wadau walikuwa na maswali mengi juu yake, nahisi pia kuna mchezo wa huyu Bashite jinsi alivyoishikia kidedea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…