RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Kama kichwa cha habari kilivyo. Kwa kweli tulishazoea kuona polisiCCM kwenye mambo kama haya lakini JWTZ kutumika this low kwa mambo ya kuvamia shilawadu kweli nimeshangaa sana. Sawa huyu jamaa ni kiongozi wa usalama dar but Ndio anauwezo wa kuwatumia hawa walinda mipaka namna hii. Nategema Tamko kutoka Jeshini maama imelichafua jeshi zima ........Ila mambo.mengine yanatia hasira kwa kweli.
Una uhakika alikuwa na wanajeshi wa JWTZ?
 
Kama video ya Clouds CCTV ni ya kweli basi tunafuga viongozi wenye hulka za kundi la Alshabab au Alqaida.
Kuvamia kituo cha matangazo ya Radio na TV huku ukiwa na wanajeshi wenye silaha ili kulazimisha matangazo utakayo yarushwr huna tofauti na kina Shekau kama nao wakipata fursa ya kuvamia kituo.
Kitendo cha RC Dar hakivumiliki na ni cha kigaidi kisichoweza kuachiwa hata dakika moja na serikali makini. Huo ni sawa na uhaini
 
zitakuja tu unadhani clouds tv wasingezitoa hizi in public kwa mange leo kungekalika maana aliahidi kutoa list ya vimada vilivyozalishwa na maboss wa clouds tv pamoja na ngazi za juu za nchi ya vi wonder na habari za maumbile yao ya siri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kusaga huko aliko naona presha imeshuka. Maana leo tulikua tunakiona kibamia chake Live.
 
Watakusikia warumi na cocochanel wewe... shauri yako!!

Lol Chige

Waliandika askari nane, na receptionist alipigwa mala fujo, bunduki juu juu kama vitani.

Clip inaonyesha mengine kabisaaa, wanabadili gia angani kuvutana wazidi kudanganyana hao waliosoma div 1*.

Wasiojua kutumga uongo, bora wanaoiba vyeti kiukweli wana akili zaidi yao.

Vyeti to magari to ujambazi to......


Makonda jembe

Oyeeeeee
 
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.

Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!

Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Kashtaki pale magogon?
 
Lol Chige

Waliandika askari nane, na receptionist alipigwa mala fujo, bunduki juu juu kama vitani.

Clip inaonyesha mengine kabisaaa, wanabadili gia angani kuvutana wazidi kudanganyana hao waliosoma div 1*.

Wasiojua kutumga uongo, bora wanaoiba vyeti kiukweli wana akili zaidi yao.

Vyeti to magari to ujambazi to......


Makonda jembe

Oyeeeeee
utakua le mtumboz tuu wewe cocochanel maana umezid kujitoa ufahamu mpaka una boa umu jukwaan


[HASHTAG]#footageNo2[/HASHTAG] iyo apo wana onekana askari zaid wakiingia ofisin umo
swali kwako kilaza ww unazan hao jamaa waliingia kufanya nini ofisin na hiyo mitutu ya bunduki..???


BASHITE THE BANDIT PART 2
 
Unajua kuna mambo mengine sijui hata nisemaje .hivi kwa mfano hapo Clouds kungekuwa na mtu mwenye bastola majibizano yakatokea hali ingekuwaje ?

Alichofanya Makonda hakina tofauti na ujambazi cha ajabu ataendelea kukingiwa kifua tu
 
45b1c1c2711b28cc92c35607c0f77ca2.jpg

Mbona herufi zafanana
 
Unajua kuna mambo mengine sijui hata nisemaje .hivi kwa mfano hapo Clouds kungekuwa na mtu mwenye bastola majibizano yakatokea hali ingekuwaje ?

Alichofanya Makonda hakina tofauti na ujambazi cha ajabu ataendelea kukingiwa kifua tu
Ruge alikuja na bastola ila gaidi Bashite alikua ameshaondoka na jeshi lake.
 
Mpaka sasa gwajima anaongoza goli tano bashite ana moja tuendelee kusubiri nani ataibuka mshindi dakika ya themanini gemu ni kali sana kama Barcelona na PSG refa yupo makini sana
 
juzi tulikuwa kwenye uzinduzi BAHUBALI~2 quality center. Leo tunaendelea BASHITE epsode 4 mungu weka jina langu mwisho kwenye list vifo niendelee kufrahia drama za tanzania yangu.
 
Hapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyo
Waliomfanya awe hivi alivyo sio Clouds bali ni Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania; Mheshimiwa Rais John Joseph Pombe Magufuli... huyu ndie kamuotesha mapembe Bashite!!!

Wakati yupo DC Kinondoni; watu walikuwa wanamlalamikia Bashite!! Alichofanya Mkuu wa Nchi ni kuwapiga vijembe wananchi na akasema wazi kwamba atampa nafasi mzuri zaidi!!! Alipomteua kuwa RC akatamka kwamba msiyempenda kaja!!!

Tuhuma safari hizi zilipoengezeka; Mheshimiwa Mkuu wa Nchi hakusema neno bali akaleta vitendo!! Sijawahi hata siku moja kuona RC anaadhimisha mwaka mmoja wa uongozi na kupewa Live TV Coverage... tv ya taifa!! Sitaki kuamini kwamba hapakuwa na mkono wa Mkuu wa Nchi!!!

Baada ya pale, Bashite akazidi kuota mapembe na hata wafuasi wake wakaanza kupiga watu vijemb humu JF!!!
 
Back
Top Bottom