Juliana Shonza yupo busy JF anahangaika kutunga propaganda za maji taka wakati huo Bashite anamfanyie wajibu wake.Huyu mkuu wa mkoa kweli ni Naibu Rais kila sehemu yupo naona sasa hivi kawaovertake Shonza na Mwakyembe.
[emoji1][emoji1][emoji1]labda atalipia gharama zitakazopunguzwaKama yeye ndie mmiliki wa bar zote hapa dar
ni naibu rais,Hilo ni zuzu anaongea yeye kama nani na ana mamlaka gani ya kushusha vinywaji yeye kawa msemaji wa wafanya biashara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja Dar JumapiliMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
bia zingeuzwa buku-buku hapo uwanjani, kama vipi walete hata ule mzigo wa bia unaokaribia ku-expire.Hili tangazo lingempendeza zaidi Konk likwid anyway Raisi wa mkoa asha-intervene na hili.
Bila kusahau aseme anaahirisha kusumbua wanaume na tezi dume zao. ....hapo Taifa stars itacheza mpaka na mashabiki wote.
Sent using Jamii Forums mobile app