RC Makonda kumpiga marufuku Zitto Kabwe kuita waandishi ili kuzungumzia suala lolote la Jiji la Dar

Pompeo hakukosea kumpiga ban kuingia USA
Eti mtu huyu ndiye hua anaalikwa pale wasafi kwny kipindi cha dini J2 kuja kuhubiri kuhusiana na amani na upendo huku yule lil mwasha akijisemesha ooh my God,ooh haleluya,Ooh Jesus

Unafiki bana.
 
Hivi kipindi kile cha Corona alimkamata? Acche bange zake na hasira zake za kunyimwa na Boss wake asigombee Ubunge
 
Ulevi wa madaraka safari hii ni mwingi sana kuliko ule wa bhangi
 
Eti mtu huyu ndiye hua anaalikwa pale wasafi kwny kipindi cha dini J2 kuja kuhubiri kuhusiana na amani na upendo huku yule lil mwasha akijisemesha ooh my God,ooh haleluya,Ooh Jesus

Unafiki bana.

Kwani bwana huyo ni mchungaji?
 
KICHAA kafufuka!

Hilo domo sasa....what a wimp!
 
Kamwambie aache bange, na wewe pia acha bange na kuropoka ropoka kila wakati. Itafikia mahali hata kama uko na point watu watakupuuza. Take my advice
 
Kamwambie aache bange, na wewe pia acha bange na kuropoka ropoka kila wakati. Itafikia mahali hata kama uko na point watu watakupuuza. Take my advice
 
Tatizo liko kwa watu wa ujiji kuchagua mtu Zitto kabwe mkazi wa masaki dar es salaam kuwa mbunge wao!!! Hajielewi kuwa anatakiwa ziara na kuongelea aongelee ya jimbo Lake la kigoma faeces's salaam Tuna wabunge wetu na viongozi WA serikali wetu hatuhitaji msaada wake makonda na wabunge wa far es salaam WA CCM na upinzani wanatoshsa kutuwakilisha na kutusemea hatuhitaji msaada wa mbunge kutoka mwandiga kigoma mshamba atusemee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…