RC Makonda kumpiga marufuku Zitto Kabwe kuita waandishi ili kuzungumzia suala lolote la Jiji la Dar

Kwani Zitto ni Mbunge wa Dar? Kwanini asiwachukue wabunge wa Dar!?

 
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa ukiona anazuia kitu ujue anataarfa
Kamwambie aache bange, na wewe pia acha bange na kuropoka ropoka kila wakati. Itafikia mahali hata kama uko na point watu watakupuuza. Take my advice
 
Eti mtu huyu ndiye hua anaalikwa pale wasafi kwny kipindi cha dini J2 kuja kuhubiri kuhusiana na amani na upendo huku yule lil mwasha akijisemesha ooh my God,ooh haleluya,Ooh Jesus

Unafiki bana.
wasafi ni wanafiki
 
Huyu toka jana anaropoka ropoka tu ana stress anatafuta pa kuzitolea
 
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa ukiona anazuia kitu ujue anataarfa
Mkuu huu ni ujinga ulio kupitiliza wa kuunga mkono kila kisemachwa, mda mwingine fikiria kwa akiri zako
 
Naona unazidi kujichanganya tu, maana hakuna ulicho kiandika hapa
 
Akili za viongozi wetu zinatakiwa kupimwa
 
Enhee Zitto nae amelipokea je hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…