kama maendeleo wameyafanya kwanini wanalazimisha watu kuyaona badala ya watu kuona wenyewe?
Siyo akili tu, hata marinda pia.Akili za viongozi wetu zinatakiwa kupimwa
Tena waliokubuhu.wasafi ni wanafiki
Inawezekana mkuu kuna siku nilimuona polepole kwny kipindi hicho hicho hapo wasafi akihubiri na bible yake mkoninu huku wale wanafiki pale pembeni wanaitikia tu ooooh shindwaaa oooh shindwaa.Kwani bwana huyo ni mchungaji?
Jifunze kuandikaHujui kanuni/msemo wa kizuri....
Na kibaya....?
Ndio we huoni kaipumzisha, maana hii anayotumia saizi nayo ilikuwa likizo😂aisee kumbe ni mambo ya multi ID
Hii nchi inahitaji vita ndo halibiratuliaKumbe ,
Yupo....kila bandiko lazima achangie ........BIA YETU upo😂😂
Atulie akose buku 7? Hela bwana.We hautulii, kila sehemu upo!.
Aisee...Kumbe ,
Mhe. Makonda. Vipi, mbona abiria wa Daladala hawavai barakoa siku hizi? Agizo lako umalifuta? Au Zitto anasumbua?Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam
Ukitaka kujuwa uwezo wa mtu na kiwango chake cha elimu usikimbilie vyeti.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam