Lazima atauza nakala za kutosha tu, watanzia wanaosoma magazeti ya udaku na story za shigongo ni wengi kuliko hao wasomi. Akiuze bei ndogo tuUmeshachapisha vitabu vingapi? Ambapo tayari ushauza nusu yake.
Kwenye 4, nusu yake ni 2. Isije ikawa hivyo
Itapendeza sana.Lazima atauza nakala za kutosha tu, watanzia wanaosoma magazeti ya udaku na story za shigongo ni wengi kuliko hao wasomi. Akiuze bei ndogo tu
Hata aliyefeli maisha Bado kuna cha kujifunzs toka kwake. Na akiki weka kwenye maandish ni Bora zaidi kwani ni njia nzur ya kuwafunza watu kwa upana zaidi.Tutajifunza nini kwake?
Sijawahi ona walio andika kitabu kwa kufeli maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilishasoma bure Insta upuuzi wako, hiyo buku 15 si bora ninunue nyama ya IDD- Sio muhimu kujibu but nitakuelimisha kidogo, kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, nilienda USA nikaamua kurudi nilikotoka Bongo, kelele za mlango ni kawaida. Walisema sitaweza bongo walipoona ninapaweza wakasema nimekimbia hahahahahhaa na bado! mtasema mengi sana!
le Mutuz Superbrand
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh!!!Mi nilishasoma bure Insta upuuzi wako, hiyo buku 15 si bora ninunue nyama ya IDD
Sent using Jamii Forums mobile app
I say siku hiyo nitakuja Ku grab my copy ..najua kitakuwa na totoz nyingi pia siku hiyo ..am humbled u know
- Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Paul Makonda. Uzinduzi huo utakaoanza Saa Kumi na Moja kamili jioni utasindikizwa na Muziki mzito wa bendi maarufu nchini FM Academia au Wazee wa Ngwasuma, na pia zitawashirikisha wasanii wengi wa Bongo Fleva. Watu wengi maarufu wanatazmiwa kuhuduria uzinduzi huo ambao unategemea kuisha saa sita kamili za usiku. Pia Vitabu hivyo vitaanza kuuza rasmi hapo ukumbini baada ya kuzinduliwa kwa bei ya Tsh. 15K tu! ....WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA KIINGILIO NI BURE!...Kitabu hiki amabcho tayari kimekua habari ya mjini hata kabla ya kutoka, tayari uzinduzi wake umeweka racord ya Wadhamini ambao tayari wameshafikia 20.
- Tunategemea wawakilishi wa Jamiiforums kwenye uzinduzi maana bila JF mimi nisingekuwa what I am today na Mitandao.
le Mutuz Superbrand
Mkewe mtarajiwa.Wewe ni miongoni mwa wabebez wake??? amehusisha kitabu chake na maisha yake ya ndoa.Ila ukweli ni kwamba amekimbia amerika kwa hofu na kushindwa kwa majukumu ya wana na mke .Find the copy of that taka taka uone
Ufipa walisha haribu akili hapa hamna mtu hapa..Kuna wachawi zaidi yenu LumumbaZz..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera Kwa uzinduzi wa kifungia maandazi!!
Majibu yote yapo kwenye hicho kitabu!HV jina LA lemutuz ulilipata wapi super brand nyenyenye bomaye citoyen
Sent using Jamii Forums mobile app