RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

Sasa mkuu tununue hiki chako tuache kile cha mzee Mengi?

Sent from my iPhone 6s using Tapatalk
 
39685795_1030781437104254_5904349622653943808_n.jpg


- Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Paul Makonda. Uzinduzi huo utakaoanza Saa Kumi na Moja kamili jioni utasindikizwa na Muziki mzito wa bendi maarufu nchini FM Academia au Wazee wa Ngwasuma, na pia zitawashirikisha wasanii wengi wa Bongo Fleva. Watu wengi maarufu wanatazmiwa kuhuduria uzinduzi huo ambao unategemea kuisha saa sita kamili za usiku. Pia Vitabu hivyo vitaanza kuuza rasmi hapo ukumbini baada ya kuzinduliwa kwa bei ya Tsh. 15K tu! ....WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA KIINGILIO NI BURE!...Kitabu hiki amabcho tayari kimekua habari ya mjini hata kabla ya kutoka, tayari uzinduzi wake umeweka racord ya Wadhamini ambao tayari wameshafikia 20.

- Tunategemea wawakilishi wa Jamiiforums kwenye uzinduzi maana bila JF mimi nisingekuwa what I am today na Mitandao.

le Mutuz Superbrand
Kilaza kuzindua kitabu cha kilaza mwenzie...waalikwa vilaza pia...
 
[emoji23][emoji23][emoji23] fact

Sent using Jamii Forums mobile app

- Mkuu kwa kupigana mweneywe na maisha nipo mbali sana infact hata watoto wa viongozi wengi wanani admire sana na hata wazazi wao, nimeshauza nusu ya vitabu nilivyochapisha na sio siri vitaisha vyote, wewe endelea na ujinga wako sisi tunapiga pesa

le Mutuz Superbrand[/QUOTE]Babu lini utakua?
Ushavuka hatua zote za binadam kuanzia kuzaliwa, utoto, ujana, uzee.

Wewe nakuona upo utotoni bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ningeweza kununua ila kwakuwa bado nipo huku Grand Rapid-Michagani Tabu lako halina maana kwangu. Experience yako USA haimaanishi wote tunapitia.Tatizo haukuwa na Akili toka mwanzo. Baba yako ka waziri mkuu unge kuwa mbalisana sasa hivi. Uenda ungekuwa hataraisi wetu but bichwa tikiti maji


View attachment 846031
View attachment 846031

- Sitaki kuamini kwamba hayo ni majengo yako huko uliko USA, kwa hizi picha tu nimekudharau kwamba ni fala nitapoteza mdua wangu kusoma post yako yote, ila by the way nilipokuwa huko USA nilikua ninaishi ninavyota
ka na hata huku bongo pia maisha ni yale yale, ila ninawacheka watoto wa viongozi wengi wanaohangaika hapa mjini ni huzuni, ninamshukuru sana Mungu kwamba sikupitia maisha ya Power maana na mimi ningekuwa kama hawa ninaowaona kila siku wanasota hapa mjini, pole sana hapa umepiga mwamba!

le Mutuz Superbrand[/QUOTE]

kwamba ni fala nitapoteza mdua wangu kusoma post yako yote

wewe huna akili na watu wengi huko tz wana tambua hilo, to cut the crap wewe ni ZERO brain
 
Back
Top Bottom