Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Punguza wivuUkimuona mtu anajifanya mnyenyekevu na mcha Mungu sana ujue huyo ni muovu.
Wivu wa kutumika kupoteza watu!Punguza wivu
Ila mwamba kila anachogusa huwa kina mwitikio mkubwa,ana kipaji cha kuwa kiongozi mwenye mamlaka na kukubaliwa na wananchi
Na ukimuona mtu anajifanya katili na asiyekuwa na hofu ya Mungu ujue huyo ni mwema?Ukimuona mtu anajifanya mnyenyekevu na mcha Mungu sana ujue huyo ni muovu.
Mtu mwema hana haja ya kujibaraguza.Na ukimuona mtu anajifanya katili na asiyekuwa na hofu ya Mungu ujue huyo ni mwema?
Acha wivu na kukariri.
Mwovu atabaki kuwa mwovu na mtu mwema atabaki kuwa mwema bila kujali maigizo au mwonekano wa nje
Kwa kiswahili?I don't like the guy, but can't deny that he's dangerously anointed. As a politician you need extra juice to pull off audacious stunts Bashite usually pulls off.
Na ndiyo aliweza hata kumshawishi mtu mwingine kumuachia cheti na jina lake, ili alitumie maisha yake yote! Siyo jambo jepesi hata kidogo.Ila mwamba kila anachogusa huwa kina mwitikio mkubwa,ana kipaji cha kuwa kiongozi mwenye mamlaka na kukubaliwa na wananchi
Na ukimuona mtu muovu? yeye hua anakuaje?Ukimuona mtu anajifanya mnyenyekevu na mcha Mungu sana ujue huyo ni muovu.
Anaangaika sana ili aonekane ni mtu mwema,mnyenyekevu na mwenye huruma lakini moyoni mwake lazima atakuwa anateseka kwa maovu aliyoyafanya dhidi ya wengine,anajuta.Na ukimuona mtu muovu? yeye hua anakuaje?
Sina uhakika kama una ushahidi wa hayo maovu unayo yaongelea hapa,Anaangaika sana ili aonekane ni mtu mwema,mnyenyekevu na mwenye huruma lakini moyoni mwake lazima atakuwa anateseka kwa maovu aliyoyafanya dhidi ya wengine,anajuta.