Wekeni ushahidi wacheni uzushi wa kitoto.Asipoenda Anafukuzwa kazi...bora watu wa Syria wamemfukuzia mbali shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeni ushahidi wacheni uzushi wa kitoto.Asipoenda Anafukuzwa kazi...bora watu wa Syria wamemfukuzia mbali shetani
Sahivi ni ushirikina na ufisadi tupuBABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.
1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.
Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.
LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.
2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.
1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo
6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk
MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.
OKOENI TAIFA LENU LEO.
IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Hapo yanafanyika matambiko tupuWachungaji na mashke wamebeba makondoo Yao wakaenda nayo, watumishi wa Uma nao wamelimwa barua lazima waende
Una uhakika wengi wa Hawa watu ni watumishi wa umma? Na kama ni hivyo, basi vyama vingine vya siasa visahau kuongoza nchi hii.Wafanyakazi ofisi zote za umma Arusha wamelazimishwa waende. Lazima wangejaa tu maana kila mtu anaogopa kibarua chake.
Kuwababaisha wewe na nani? mbona unajumuisha na wengine sasa? jiongelee wewe kama wewe,Wewe ni yule unayejifanya kumtetea,acha kutubabaisha hapa.
Huwezi kunifikia hata kidogo usijidanganye.
Ni kusanyiko la mashetani tupu yanazindikaUnaona ulivyo moumbavu? Maombi hayana wana Chadema Ndani?
You can say that again.I don't like the guy, but can't deny that he's dangerously anointed. As a politician you need extra juice to pull off audacious stunts Bashite usually pulls off.
Syria moto CHINI ...hii code mpyaaWekeni ushahidi wacheni uzushi wa kitoto.
Nisawa na kuabudu SHETANI mchana kweupe bora gizani useme ulikumbana na PepoKusanyiko linalomchukiza Mungu wa mbinguni
Ni kusanyiko la mashetani tupu yanazindika
Mwambie Makonda aendelee kufanya usanii huku akipiga fedha kama hana akili nzuri kwa sababu maombo yake kwa ''mungu'' yatasaidia nchi. Kweli waafrika bado tuko kwenye level ya manyani. Huyu huyu muovu na shetani Makonda anafanya maombi ya kuiombea nchi?Punguza wivu
Wewe una uelewa gani zaidi ya kujigeuza mtwana kwa huyo bwana'ako ,usinipotezee muda choko mkubwa.Kuwababaisha wewe na nani? mbona unajumuisha na wengine sasa? jiongelee wewe kama wewe,
Upeo wako wa uelewa ni mdogo sana,grow up young Boy.
Yeye mwenyewe anajua wewe nani unabisha au upo naye kwenye group lenu?Kampoteza nani na story zenu za vijiweni. Punguzeni utoto