RC Makonda: Ofisi iliyochanga pesa kwa niaba ya Taifa Stars na kuzitumia izilete mara moja.

MIMI NAAMINI CCM WANAMLIA TIMING TU RAIS...NAAMINI HUYU DOGO NDIYE ATAKAYEMWANGUSHA RAIS KURA ZA MAONI CCM...
 
Uamuzi huo anautoa kama nani?
Huyu bootylicious akili yake iko huko.
 
Jamaa anaongea kimamlaka hadi inatisha kiasi wala hana maswali kwamba watu wanaongea nini
Yaani haya mamlaka huyu kijana anayatoa wapi? Inashangaza aiseee utadhani ni Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…