Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Hii Kali Sasa warudishe kabla hazijaisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The comment of the day.Hii ni vita ya haki ya mzaliwa wa Kwanza kati ya mwenye vyeti feki na ya mchunga ng'ombe wa kanda ya kati anayeona suluhu la matatizo ni kupiga wenzake fimbo za mgongoni hadi wazimie.
Sky Eclat andaa mkate wa dengu adui mwombee njaaa
Hii ni vita ya haki ya mzaliwa wa Kwanza kati ya mwenye vyeti feki na ya mchunga ng'ombe wa kanda ya kati anayeona suluhu la matatizo ni kupiga wenzake fimbo za mgongoni hadi wazimie.
Sky Eclat andaa mkate wa dengu adui mwombee njaaa
Wabunge hao.RC Paul Makonda: "Kuna jambo nimelibaini nilipokwenda Misri, ipo ofisi moja iliyochangisha fedha kwa ajili ya Taifa Stars lakini wakazitumia kwa matumizi yao na wengine kutumia kwa shughuli za utalii. Hiyo fedha naitaka, aidha ipelekwe BMT".
Ni ofisi gani hiyo?
View attachment 1147057
KabisaSafi sana makonda! Hawa ndio viongozi tunaowataka, wanaosimamia matumizi sahihi ya fedha za umma.
Ofisi iliyokiuka matakwa ya naibu rais mnalo
Mbwa kaingia msikitini, natamani iwe ana maanisha ile ya Dodoma maana walijifanya kukaa kimyaa sasa mtoto pembe zimeota na kama anamaanisha wao basi kwa kweli ile ofisi itakuwa imefika kiwango cha chini kabisa katika dharau kama team inashuka daraja. nadhani hata yeye angeanza kuleta mchanganuo wa zile pesa kutoka siku ya mechi ya Uganda na ile mishango pesa imetumika wapi na kwa nani kila kitu kiwekwe hadharani halafu wengine itabidi wafanye hivyo pia pesa zote zimetumika vipi? wachezaji waoga hawawezi kusema ya moyoni inabidi mmoja awe shujaa ajilipue tu je wamefaidika na zile pesa maana Hotel na chakula kule ilikuwa CAF wanalipia. yale mamilioni yako wapi bora yule aliyeahidi nondo team ikifika q.final maana kama alikataa kutoa akawatolea nje kiakili tu maana hata mjinga anajuwa hakuna kitu hapo..
Je tigo unatoa?Ofisi iliyokiuka matakwa ya naibu rais mnalo
Mawazairi wa wizara husika wamelala Lumumba.Kwani yeye ni waziri wa Michezo???
Hii ni vita ya haki ya mzaliwa wa Kwanza kati ya mwenye vyeti feki na ya mchunga ng'ombe wa kanda ya kati anayeona suluhu la matatizo ni kupiga wenzake fimbo za mgongoni hadi wazimie.
Sky Eclat andaa mkate wa dengu adui mwombee njaaa