RC Makonda: Ofisi iliyochanga pesa kwa niaba ya Taifa Stars na kuzitumia izilete mara moja.

RC Makonda: Ofisi iliyochanga pesa kwa niaba ya Taifa Stars na kuzitumia izilete mara moja.

Hii ni vita ya haki ya mzaliwa wa Kwanza kati ya mwenye vyeti feki na ya mchunga ng'ombe wa kanda ya kati anayeona suluhu la matatizo ni kupiga wenzake fimbo za mgongoni hadi wazimie.
Sky Eclat andaa mkate wa dengu adui mwombee njaaa
 

Attachments

  • VID-20190703-WA0001.mp4
    505.8 KB
Mimi naamini tangu dunia iumbwe hajawahi kutokea mkuu wa mkoa kama huyu. - 0
 
Ndungai apeleke pesa haraka sana kwa Bos wake, la sivyo atamsemea tena kwa mfalume.
Hii ni sababu ya madai ya Ndungai kuhusu kukumbushia ile ahadi ya milioni kumi ambayo Naibu Rais aliwaahidi wachezaji kama wataweza kushiriki mashindano ya Afcon.
Hivyo wote wanapaswa kutimiza ahadi zao.
 
Hii itakuwa labda ofisi ya bunge nini?
Kwa kuwa ndio walioenda kwa wingi.
Ingelikuwa vema ofisi zote zilizochanga kwa Taifa stars zikaorodheshwa.
 
Utawala Wa Sheria
Busara, Hekima Vitumike
 
Ipo siku ataamrisha mzee Magu akome mara moja kuzurura huko Chattle na Airbus. Kijana anazidi kurefusha mabawa tu kila iitwapo leo.
 
RC Paul Makonda: "Kuna jambo nimelibaini nilipokwenda Misri, ipo ofisi moja iliyochangisha fedha kwa ajili ya Taifa Stars lakini wakazitumia kwa matumizi yao na wengine kutumia kwa shughuli za utalii. Hiyo fedha naitaka, aidha ipelekwe BMT".

Ni ofisi gani hiyo?

View attachment 1147057
Wabunge hao.
Walimwaga mboga jamaa kamwaga ugali. Hivi Mwakyembe yuko wapi?


Makonda itabidi tu awe waziri kwa sababu hakuna namna.

Mwakyembe ameshajichokea zake
 
Hiyo timu angekuwepo CANAVARO kingeshanuka
Mbwa kaingia msikitini, natamani iwe ana maanisha ile ya Dodoma maana walijifanya kukaa kimyaa sasa mtoto pembe zimeota na kama anamaanisha wao basi kwa kweli ile ofisi itakuwa imefika kiwango cha chini kabisa katika dharau kama team inashuka daraja. nadhani hata yeye angeanza kuleta mchanganuo wa zile pesa kutoka siku ya mechi ya Uganda na ile mishango pesa imetumika wapi na kwa nani kila kitu kiwekwe hadharani halafu wengine itabidi wafanye hivyo pia pesa zote zimetumika vipi? wachezaji waoga hawawezi kusema ya moyoni inabidi mmoja awe shujaa ajilipue tu je wamefaidika na zile pesa maana Hotel na chakula kule ilikuwa CAF wanalipia. yale mamilioni yako wapi bora yule aliyeahidi nondo team ikifika q.final maana kama alikataa kutoa akawatolea nje kiakili tu maana hata mjinga anajuwa hakuna kitu hapo..
 
Hiyo ofisi ni ile inaongozwa na mheshimiwa DHAIFU SANA??
 
Hii battle ilikuwa ina HOME na AWAY! Sasa IPO HOME... DAB kama kawa... We muekee MIC mbele... Hana break huyu! Ndugu alimgusa aliposema MJENGONI kuna MTU aliahidi 10m kwa kila mchezaji na hajatoa! Patamu hapa! Tule popcorn!
Hii ni vita ya haki ya mzaliwa wa Kwanza kati ya mwenye vyeti feki na ya mchunga ng'ombe wa kanda ya kati anayeona suluhu la matatizo ni kupiga wenzake fimbo za mgongoni hadi wazimie.
Sky Eclat andaa mkate wa dengu adui mwombee njaaa
 
Back
Top Bottom