RC Makonda Sifa nyingi kumbe Mkoa wa Arusha hauna Stendi ya Uhakika wa Mabasi na Wakazi wanalalamika Kutwa

RC Makonda Sifa nyingi kumbe Mkoa wa Arusha hauna Stendi ya Uhakika wa Mabasi na Wakazi wanalalamika Kutwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ndiyo maana wenye Akili tunakudharau kwani tunajua kuwa hizi Sifa zako zote za kuja na Kampeni za kila aina sijui Land Rover Day mara Nyama Day mara Couples Day na nyinginezo zisizo na Sifa wala miguu ni dalili ya Kiongozi Goi Goi ambaye anapenda Cheap Popularity ili kuyaficha Madhaifu yatonayo na ama Ujinga au Upumbavu wake.
 
Ndiyo maana wenye Akili tunakudharau kwani tunajua kuwa hizi Sifa zako zote za kuja na Kampeni za kila aina sijui Land Rover Day mara Nyama Day mara Couples Day na nyinginezo zisizo na Sifa wala miguu ni dalili ya Kiongozi Goi Goi ambaye anapenda Cheap Popularity ili kuyaficha Madhaifu yatonayo na ama Ujinga au Upumbavu wake.
HUYO YUPO JUU SANA MNAHANGAIKA BURE HAZARAULIKI HATA SIKU MOJA
 
Katika hili namtetea Makonda. Ishu ya stendi ilikwamishwa na aliyekuwa RC wakati huo Gambo. Lilitengwa eneo zuri karibu na mjini na linalofikika kirahisi ila kwa fitina zake akapeleka kwingine. Stendi imekwamishwa na siasa chafu za Gambo. Makonda katika hili hahusiki.
 
Ndiyo maana wenye Akili tunakudharau kwani tunajua kuwa hizi Sifa zako zote za kuja na Kampeni za kila aina sijui Land Rover Day mara Nyama Day mara Couples Day na nyinginezo zisizo na Sifa wala miguu ni dalili ya Kiongozi Goi Goi ambaye anapenda Cheap Popularity ili kuyaficha Madhaifu yatonayo na ama Ujinga au Upumbavu wake.
Makonda ni kelele tu.. toka aje Arusha hakuna lolote alilofanya la maana
 
gambo & co walitaka kupiga mkwanja mrefu kupitia ujenzi wa stand ishu ikabuma.
 
Ndiyo maana wenye Akili tunakudharau kwani tunajua kuwa hizi Sifa zako zote za kuja na Kampeni za kila aina sijui Land Rover Day mara Nyama Day mara Couples Day na nyinginezo zisizo na Sifa wala miguu ni dalili ya Kiongozi Goi Goi ambaye anapenda Cheap Popularity ili kuyaficha Madhaifu yatonayo na ama Ujinga au Upumbavu wake.
Kumbe wewe ndio Kigogo mwenyewe uliendika kule 😂😂
 
Ndiyo maana wenye Akili tunakudharau kwani tunajua kuwa hizi Sifa zako zote za kuja na Kampeni za kila aina sijui Land Rover Day mara Nyama Day mara Couples Day na nyinginezo zisizo na Sifa wala miguu ni dalili ya Kiongozi Goi Goi ambaye anapenda Cheap Popularity ili kuyaficha Madhaifu yatonayo na ama Ujinga au Upumbavu wake.
Mkuu wewe ndie huna akili, Makonda kawa RC wa Arusha hivi majuzi tu na mipango ya mambo ya ujenzi wa stand ya mkoa ni tofauti na ujenzi wa matundu ya vyoo, muulizeni Mbunge wenu ambaye anakumbuka shuka kumekucha, kumlaumu Makonda kwa ujenzi wa stand ni kumuonea tu, je akina Chalamila wamejenga stand zipi?
 
Katika hili namtetea Makonda. Ishu ya stendi ilikwamishwa na aliyekuwa RC wakati huo Gambo. Lilitengwa eneo zuri karibu na mjini na linalofikika kirahisi ila kwa fitina zake akapeleka kwingine. Stendi imekwamishwa na siasa chafu za Gambo. Makonda katika hili hahusiki.
ChoiceVariable
 
Ndiyo maana wenye Akili tunakudharau kwani tunajua kuwa hizi Sifa zako zote za kuja na Kampeni za kila aina sijui Land Rover Day mara Nyama Day mara Couples Day na nyinginezo zisizo na Sifa wala miguu ni dalili ya Kiongozi Goi Goi ambaye anapenda Cheap Popularity ili kuyaficha Madhaifu yatonayo na ama Ujinga au Upumbavu wake.
Tanzania ujinga ni kipaji, wapumbavu waliopo Tanzania huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki)

Tena kipaji hicho cha upumbavu hufanyika nyuma ya mikamera kwa mfumo wa kidijitali yaani kinachofanyika muda huo kina rushwa muda huohuo,mubashara,(live)
 
Back
Top Bottom