ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Na huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.