Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Na yule mzee alietumbuliwa mpaka akafa daaHata yeye ni mbeya, si ndiye alimchora Gwajima yuko faragha? Si ndiye alimfitini Chongolo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yule mzee alietumbuliwa mpaka akafa daaHata yeye ni mbeya, si ndiye alimchora Gwajima yuko faragha? Si ndiye alimfitini Chongolo?
NaamNa yule mzee alietumbuliwa mpaka akafa daa
Yuko sahihiNa huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
Hakika 100% yupo sawa...kama jana wamezuiwa Angola lawama wanapeleka kwa ubalozi!Na huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.