ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hajataja uchawa ajira inalipaNa huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
View: https://youtu.be/lKRlQ4OqymE?feature=shared
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
Wewe ndio mbumbumbu mwenyewe anaezungumzwa na RCHuyu nae ni wa kupeleka veta
Bora kuwa chawa kuliko kuwa mbeaHajataja uchawa ajira inalipa
Yeah. Uchawa bongo unalipa mkuuBora kuwa chawa kuliko kuwa mbea
Tumewekeza kwenye simba na yangaNa huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
View: https://youtu.be/lKRlQ4OqymE?feature=shared
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
🤣Even when he is right, he is wrong.
Leo kapatia sanaNa huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
View: https://youtu.be/lKRlQ4OqymE?feature=shared
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
No offence rc amesema ukweli, look at jamii ya kinzania, focused on udaku, umbea , wengine ndio wamegeuza full time jobNa huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
View: https://youtu.be/lKRlQ4OqymE?feature=shared
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
Yeye baada ya kuzungusha zero alipomaliza form4 mbona hakwenda VETA? Badala yake akageuka chawa kwa familia ya yule born town mstaafu asiyetaka kustaafu? Na uchawa ndio unanenepesha tumbo lake kwa sasa. Ule haukuwa umbea?Na huu ndio ukweli unakutana na mtu hajui chochote Cha maana zaidi ya mambo ya kijinga yasiyo na msingi na ndio sababu wengi wanatumiwa na wajanja kujinufaisha.
On top of that ujinga wa Watanzania ndio sababu wanapigwa na matapeli na wajasilia dini.
View: https://youtu.be/lKRlQ4OqymE?feature=shared
My Take
Bila kubadilika Kila siku wataishia kulalamika na kulaumu Serikali.
Alipata kazi ya uchawa Kwenye siasa Kwa marehemu mzee SitaYeye baada ya kuzungusha zero alipomaliza form4 mbona hakwenda VETA? Badala yake akageuka chawa kwa familia ya yule born town mstaafu asiyetaka kustaafu? Na uchawa ndio unanenepesha tumbo lake kwa sasa. Ule haukuwa umbea?
Nasikia ....walimfanyia mbaya mambo ya upinde .....ni kweli ?? Njaa mbaya sanaaa acha awe hasira sanaaaAlipata kazi ya uchawa Kwenye siasa Kwa marehemu mzee Sita
Kamuulize mwenyeweNasikia ....walimfanyia mbaya mambo ya upinde .....ni kweli ?? Njaa mbaya sanaaa acha awe hasira sanaaa