field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,732
Kesaboso,
Sema tahadhari" au "kufurahi"siyo "tahadhali" au "kufulahi". Ukisikia watu wanasema idadi siyo sahihi wanaelewa siyo wewe unayekaa huko ziwani kwenye mazizi ya ng'ombe. Wewe ndiyo ZEZETA hasa tena inawezekana la Kisukuma.
Tunataka ukweli ili wananchi waelezwe hali halisi tuweze kuchukua hatua, wala hatuhitaji sifa. Unapoeleza hali halisi unasaidia wananchi kujihami na kuchukua hatua kwa wakati.
Haya yanayotekea kwenye nchi zilizo na maambukizi zaidi ni kwamba hawakuchukua hatua madhubuti. Kwetu naona tunaelekea huko.
Sema tahadhari" au "kufurahi"siyo "tahadhali" au "kufulahi". Ukisikia watu wanasema idadi siyo sahihi wanaelewa siyo wewe unayekaa huko ziwani kwenye mazizi ya ng'ombe. Wewe ndiyo ZEZETA hasa tena inawezekana la Kisukuma.
Tunataka ukweli ili wananchi waelezwe hali halisi tuweze kuchukua hatua, wala hatuhitaji sifa. Unapoeleza hali halisi unasaidia wananchi kujihami na kuchukua hatua kwa wakati.
Haya yanayotekea kwenye nchi zilizo na maambukizi zaidi ni kwamba hawakuchukua hatua madhubuti. Kwetu naona tunaelekea huko.