RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

lakini kwanini tusimshukuru na kumpongeza mtu anaejitokeza na kututia moyo/kutufariji kwenye kipindi hiki kigumu,kama kiongozi nadhani anatakiwa kusema anayoyasema[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nimpongeze mtu anayeniongoza kwenda kwenye janga?!!

Hivi kile kibri cha rais wa nchi kwamba hatutawazuia watalii kuingia nchini kingepokolewa na hao watalii hivi sasa tungekuwa kati hali gani?! Imekuwa bahati kwetu kwamba wenzetu duniani walizuia hizi international flights vinginevyo hivi sasa tungekuwa tunatafutana kama kweli hivi sasa tupo salama!!

Kama umeshawahi kuishi Zanzibar na Mafia, bila shaka utafahamu jinsi hivi visiwa vinavyopokea Waitaliano wengi kila mwaka!! Sasa ingekuwa bado wanamiminika Zanzibar na Mafia kwavile rais karuhusu, hivi sasa tungekuwa kwenye hali gani?

Au Marekani ambayo ni source kubwa ya utalii wetu... kama wangeendelea kuja hivi sasa tungekuwa katika hili gani?!

Nimesema si mara moja na hapa nitarudia: Angalia historia ya mataifayote yalioathirika sana... kuanzia China, Italy, Iran, Spain na hata US, hawa wote viongozi wao walileta mzaha kwenye coronavirus!!

Huyo Lee Man-hee niliyekupa mfano, mara tu baada ya sala ya Jumapili iliyotangulia, Korea ya Kusini walipofanya testinga, watu zaidi ya 400 walikutwa na COVID-19 na zaidi ya nusu walikuwa ni wafuasi wa Shincheonji Church of Jesus, na wiki 2 after first case, 60% ya waathirika wa COVID-19 Korea Kusini YOTE walikuwa ni wafuasi wa Shincheonji Church of Jesus.
 
Hao jamaa siku zote ni wanafiki; juzi Ndugai kasema watanzania ni masikini, naamini kama angekuwa viwanja vya ikulu angebadilisha hiyo sentensi aseme kinyume chake, Makonda nae anataka masikini wakafanye kazi, wakati yule anayetibiwa kwa kodi za masikini akiumwa ameogopa kakimbia mji.

Wanaleta siasa kwenye uhai wa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
field marshall1,
Wewe umejuaje kama hizo nchi hawafichi, kwani wewe upo kwenye hizo nchi na data zao wewe ndo unazo? Mbona mna penda umbea sana, sasa wakikwambia tz kuna wagonjwa mia tano utapata faida gani? Je kuchukua tahadhali umeshaanza wewe mwenyewe?,

umeanza kukaa ndani au mpaka ulazimishwe? Hakuna sifa ya kufulahi kusikia wagonjwa wengi, na kama unao hao wagonjwa kwenu wapeleke sehemu husika watatangazwa, kuna nchi zina wagonjwa watatu zingine hazina sasa hapo utasema wameficha au?

Punguzeni uzezeta, hilo sui gonjwa la kijisifu kuwa na wingi wa wagongwa.
 
maradhi hayafichiki, wagonjwa wa corona wangekuwepo ingejulikana tu.tungeona hospitalini mrundikano wa wagonjwa, kama ni kulipuka, toka mgonjwa wa kwanza agundulike mpaka leo ungeshalipuka kitambo?
 
Haizuii kusoma habari nzima.

macson
Duniani kuna watu executives ambao huwa wanasoma executive summary tu. Ndiyo maana katika uandishi kichwa cha habari, introduction na hitimisho ni vitu muhimu. Kichwa cha habari huchukua dhima ya andiko.

Para ya kwanza inabeba issue yenyewe na hitimisho lina funzo au ombi kama ni barua. Baada ya hapo ni utashi wa msomaji kusoma andiko lote.
 
Kesaboso,
Umesema kweli. Kiswahili ulichoandika kinafanana kidogo na cha nyumbani ( mukaya) Kanda ya Ziwa.
 
Hivi kuna muda maalum wa Rais kuwa nje ya Ikulu? Hapa ondoa kuhusu ugonjwa, kuamua tu sasa shughuli zangu nazihamishia mtepwezi na hakuna kuhojiwa hata kama nitakaa mwaka mzima.

Wataalam wa ugatuzi wa madaraka na sheria,inazungumza nini juu ya makazi ya rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu watu wanachukulia lightly hili swala...

Huyo Makonda tumpuuze hajui analoliongea...

Halafu hata mimi nina wasiwasi na hizo number za wagonjwa ambao wameathirika...

Withtime tutajua tu...ugonjwa haujifichi
 
Hivi kuna muda maalum wa rais kuwa nje ya Ikulu? Hapa ondoa kuhusu ugonjwa, kuamua tu sasa shughuli zangu nazihamishia mtepwezi na hakuna kuhojiwa hata kama nitakaa mwaka mzima.

Wataalam wa ugatuzi wa madaraka na sheria,inazungumza nini juu ya makazi ya rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikulu ni ofisi ya umma, hata Rais ni mtumishi wa umma, hawezi kuchomoka tu bila taarifa yoyote, na kwa kawaida wakati wa mapumziko ya sikukuu ndio huwa anakwenda kupumzika kwao, but this time....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom