Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi kauli tata za viongozi muda wowote dunia inaweza kututenga!
Labda ww unaonaje kwa mfano?Hapo wewe unaonaje ? Yuko sahihi au amekosea
Ndugu yangu, we acha tu...washamba na limbukeni tumewasukumizia madaraka yanayowazidi kimo.Jamani kwanini Tanzania tunaendeela kudhalilika kiasi hiki? Na bado wapo wanaoshangilia kituko hiki
Ninashukuru hiyo clip ipo kwa kiswahili, dunia ingetuona viumbe wa dunia nyingine.
Majirani wana kila sababu ya kutusema! Awamu ya tano ina tufedhehesha sana
Tena hawa watetezi wa uzembe wanasema, kitu muhimu ni kujilinda mwenyewe.Yani nikifunga duka langu kuna mtu ananidai?kila mtu anachukua tahadhari kwa kiwango anachoona yeye na kulingana na Uchumi wake.
Mimi ni umaskini tu unanisumbua saa hizi ningekuwa kijijini familia yangu
World wide
The best Medicine of Corona is to Stay Home.
mimi nimepongeza kwa dhati kabisa[emoji38][emoji38][emoji38], pengine wewe ndio hujanielewa,hawa mabeberu sio wa kuwasikiliza kila kitu,wakati mwingine tuamini kivyetuvyetu (rejea vita ya maji..! maji...!)[emoji102]