RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

Kwa shughuli zote zitasimama wakati waalimu wakitengeneza Madaktari wapya kwa miaka 6?Halafu kwa ujinga wa WaTz wanaamini Daktari anafundishwa na Mwalimu,Mwalimu wa Daktari ni Daktari pia hao walimu mnaowasema ndio kila kitu uwezo wao unaishia kufundisha kusoma na kuandika labda sana Lugha na basics za science au biashara
Acha professionals wengine wade tu walimu watawafundisha tutapata hao madaktari sijui mainginia sijui wagavi na wanasiasa
Imagine wakifa walimu nani wanafundisha?
Hii govt ikon very clever walimu pumzikeni hiki kisanga kipite mtarudi kuendelea kutengeneza hao other proffesionals

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app

Hii kufuru Si ya kawaida !!
 
bunge halina umuhimu?gulio halina umuhimu kwako wewe usiyejua mchango wa kila sekta na kila shughuli ya kiuchumi na kila mtu kwa jamii nzima ya nchi husika.
Ni nini chenye umuhimu kuliko uhai? Bunge shughuli zinaweza kusimama kwa muda ili kuokoa uhai. Je uhai ukipotea bunge litaurudisha?
 
Ina maana hakuna mwana JF ambaye anajua ward au hospitali ambayo imejaa wagonjwa wa Korona?

Mimi nakubaliana na Makondakta watu wakapige kazi

Kwani shule na vyuo kafunga nani???? wananchi au PM nchii hii Daudi anamkoromea mpaka Kacellphone tena kinouma nouma hii kumtekenya Jiwe tu. Sie tunawaachia wenyewe mjipigie vigelegele.
 
..hivi nchi hii haina AKIBA?

..so far tumepata wagonjwa 20 tu, na wananchi bado wako makazini na biashara ziko wazi, kwanini tunatishana kwamba serikali itashindwa kulipa mishahara?
Serikali haitashindwa kulipa mishara. Tunachapisha noti nyingi kulipa mishahara na madeni yote ya ndani. ccm oyee.
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app

Wakati tunasikia wenzetu wakifa kwa maelfu, tukisikia jirani zetu wakiongeza muda wa lockdown sisi tunahimiza watu watoke wakapige kazi,je hii jeuri yetu inatokana na Nini? Je ni kwa sababu ya kuongozwa na kiongozi mtarajiwa wa malaika? Au ni kwa sababu sisi ni waalamu sana wa kupambana na magonjwa ya mlipuko,au tunataka tuwatoe watanzania kafara kwa tamaa za madaraka yetu,je ni kiburi cha uzima, je sangoma katudanganya au ni ujinga wetu tu?
 
Hivi huyu mkuu wa mkoa anahisa kwenye kampuni za mazishi?
 
Aisee, kabla ya kuandika vingereza vyako vya kukopi wikipedia ebu jiulize ni waTZ wangapi wanaweza kuishi siku 30 wakiwa wamejifungia ndani bila kufanya kazi?? kwa uchumi gani ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ccm wanasema wao ni chama bora Africa,sasa ubora wao upo kwenye Nini sasa? Si bora Rwanda na Kenya wasio na chama bora na maisha yanaenda pamoja na lockdown.Kweli nimeamini ujinga wenu ndo mtaji wao
 
Kabla sijachangia chochote kwenye MADA hii.

Naomba mnipe idadi yenu.

Chama tawala mko wangapi?

Na Upinzani mko wangapi?
 
Maisha ni hesabu, na hesabu hazidanganyi, wale waliowafungia namba ya waathirika inaongezeka na wale walioamua kujikita kuelimisha wananchi juu ya ugonjwa huu namba haziongezeki kwa kasi kivile.

Historia pia haidanganyi, ukisoma kitabu cha Daniel katika biblia takatifu, mfalme Wa babeli aliwakataza watu kumwabudu Mungu Wa kweli na badala yake waabudu miungu yake na wale hawakutii walikiona cha moto.

Kuuabudu ugonjwa huu hakuna tofauti na nyakati zile, tumeona Kenya na kwingineko watu watu wakipokea vipigo na wengine kupoteza maisha kwa sababu ya kutotii amri ya kuabudu Corona.

Sisi na Magufuli wetu wacha tumtegemee Mungu Wa kweli huku tukifuata elimu na maelekezo ya wataalamu wetu wakati pia Tukiomba Mungu kila mtu kwa imani yake tushinde jaribu hili.
 
Nami sielewi, kule Italy wamejifungia lakini wanapukutika. Sijui wanaipataje huko ndani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kilichofanyika Italy ni Kama hiki kinachofanyika hapa kwetu.waliambiwa wajifungie ndani wakajifanya wao wanajua kupiga kazi,by the time wanajifungia ndani tayari kila familia Ina mwathirika then wakaanza kuambukizana ndani kwa ndani,Kama Tanzania haina Mungu wa pekee yake,Basi utaniambia kitakachotokea Makonda na Magufuli huko tuendako,tuombe uzima
 
Back
Top Bottom