RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

Unawaonea gere walimu?
Acha professionals wengine wade tu walimu watawafundisha tutapata hao madaktari sijui mainginia sijui wagavi na wanasiasa
Imagine wakifa walimu nani wanafundisha?
Hii govt ikon very clever walimu pumzikeni hiki kisanga kipite mtarudi kuendelea kutengeneza hao other proffesionals
 
umeandika kwa uoga, bora hata usingeandika, kwa hiyo watu wachangie kuhusu RC yupi na kakosea nini? ukiwa humu jaribu kuwa jasiri kwa kike unachokiamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli,katika mitandao ya kijamii ni lazima kuwaza mara mbili kabla ya kuandika na ni kweli mimi ni muoga ila nashukuru kama mmeligundua hilo.
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mpuuzi huyu, hata haelewi chochote kuhusu Covid 19 na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa ili Kupunguza kasi ya maambukizi
 
Mtanzania mwenzangu nakushauri ukae tu nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, Corona is real, people dying jamani,
Kama una kieneo kwako panda hata bustan ya mboga mboga itakukimu, uchumi umeshake duniani.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
 
Acha professionals wengine wade tu walimu watawafundisha tutapata hao madaktari sijui mainginia sijui wagavi na wanasiasa
Imagine wakifa walimu nani wanafundisha?
Hii govt ikon very clever walimu pumzikeni hiki kisanga kipite mtarudi kuendelea kutengeneza hao other proffesionals
Kabisa bata liliwe time yao hii
 
Mtanzania mwenzangu nakushauri ukae tu nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, Corona is real, people dying jamani,
Kama una kieneo kwako panda hata bustan ya mboga mboga itakukimu, uchumi umeshake duniani.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Where?
 
Mh tumekusikia waswahili wanamsemo...akili zakuambiwa changanya na zako...ndio tumechanya akili tayari na majibu umeyaona katika ziara uliyofanya tukirejea taarifa za mataifa mengine wanachofanya siamini watakuwa hawakuliona ulilotamka hususan nchi za dunia ya tatu tusicheze kamali na maisha kama mfanya biashara au taasisi imeamua kufunga shughuli zake kwa mda usilazimishe/shawishi jambo zito liwe jepesi...
Rais wa Brazil alishaawambia wanachi wake wachape kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app

Dar ina rc
 
South Africa watu wameona watakufa njaa ni heri Corona iwaue na sio kufa kwa woga.

Kwa hizi nchi zetu na ufukara uliokithiri, kukaa ndani ni kufa kwa njaa tu hakuna kingine.
 
Hapo wewe unaonaje ? Yuko sahihi au amekosea

Angekuwa na hakiba ya maneno basi angekuwa sahihi asilimia 100 lakini mawazo yake yanaweza kuwa ndivyo sivyo..hataweza kuyarudisha kinywani tena
 
Kwangu mimi siamini mataifa mengine makubwa yenye wataalam si wajinga kiasi cha kuwaambia raia wake wajifungie. Hata kama kwa sababu moja au nyingine Tanzania haitaathirika sana na huu ugonjwa bado tu siwezi kusifu hatua zilizochokulia na nchi yetu kwa sababu wanafanya kamari mbaya sana. Siyo kwamba nataka wafanye lockdown kama nchi za Ulaya hapana. Kuna vitu wangeweza kufanya zaidi ili kuonyesha wanajali. Kuna mikusanyiko ambayo mpaka sasa inaendelea eg Bunge, Magulio, nk ambayo haina umuhimu na ni njia kuu ya kueneza hawa virus.
Mnachonga sana. Subirini. Muziki bado haujaanza.
 
Sasa kama analijua hilo kuwa wananchi hawatakiwi kuomba msaada serikalini inakuwaje serikali yenyewe inaomba msaada kwa mabeberu ili kukabiliana na hili gonjwa?
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app


In God we Trust
 
Yawezekana au isiwezekane kuwa yuko sahihi maana kwa kauli za namna hiyo bila kuwa na akiba ya maneno ni hatari zaidi kuliko imani aliyonayo kuhusu corona..kauli yake isije kufatiliwa na maadui kutimiza uovu wao katika taifa letu maana wanaweza kufanya juu chini ili huu ugonjwa uenee nchi nzima ikiwa ni jitihada za kutukomoa ili wapate kuaminika kweli kwamba ugonjwa huu ni hatari sana
 
Hajawahi kutoa tamko likaeleweka kwa watanzania. Sijui kalaaniwa na nani
Mkuu wa mkoa wa Dar Makonda amewashangaa wananchi kujifungia ndani kisa Corona.

Makonda amesema watu watoke wakafanye kazi taratibu za kujikinga na corona ziko wazi, hivyo kujifungia ndani kisa Corona ni uzembe.

Amewashangaa wafanyabiara kufunga maduka kisa Corona.

Pia ameonya wanaosambaza habari kuwa kuna wagonjwa wengi ila wanafichwa, amehoji kwenye familia yako kuna mtu anaumwa corona ama amekufa na corona serikali imeficha.

NB. Kwa hizi kauli za viongozi ikitokea Corona ikatupiga sawasawa sidhani kama kuna Taifa litatia mguu kutusaidia.

Hata kama serikali ina msimamo wake kuhusu hili wangefanya kimya kimya, kutangaza hadharani hivi ni hatari kwa mstakabali wa Taifa letu.





In God we Trust
 
Back
Top Bottom