RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wafungue vyuo na shule kwa sababu walimu na wakufunzi hawafanyi kazi muda huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo ni hasara kwa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kudhihilisha uchina walivyo fungiwa ndani walikuwa wavivu?
Tanzania wananchi wanajifungia ndani lakin Serikal inawahamasisha watoke Nje wafanye kazi

Kwingineko Duniani Wananchi wanataka kutoka nje kuchapa kazi Serikal zao zinawazuia kwa hofu ya Corona

Maana yake Wananchi wa TZ ni waoga na wavivu wakati Serikal yao ni ya kijasiri na kichapa kazi

Kwingineko Serikal zao za kivivu na kioga wakati wanancho wao ni wachapakazi na majasiri



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona inaambukiza kupitia hewa .Tusivamie taaluma za watu. Scientists say there is preliminary evidence that airborne transmission — in which the disease spreads in the much smaller particles from exhaled air, known as aerosols — is occurring, and that precautions, such as increasing ventilation indoors, should be recommended to reduce the risk of infection.

Aisee, kabla ya kuandika vingereza vyako vya kukopi wikipedia ebu jiulize ni waTZ wangapi wanaweza kuishi siku 30 wakiwa wamejifungia ndani bila kufanya kazi?? kwa uchumi gani ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app
QUO
Huyu RC amelewa madaraka
 
Kama tumeandikiwa kufa kwa korona acha tufe tukiwa tumesimama, sio kufa umejificha chumbani.
Kila MTU afanye kazi kama kawaida japo kwa umakini.
Safi sana,Kauli za kiume hizi
Hiki kipindi sijui kwa nini Magufuli na huyu jamaa wamekaa sana akilini mwangu,Nimewapenda sana

MIJITU MINGI MIVIVU SANA.HATA UKIENDA MAOFISINI WANAONEKANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Masanja mkandamizaji I,ameitwa na Mkuu wa wilaya akajieleze,kwa hiyo na Makonda anaikejeli Corona?na yeye aitwe ahojiwe?
 
Ukiwa na jeuri hakikisha unaweza kujitegemea ili ukipata matatizo wenye pesa zao wakikataa kukusaidia usianze mchawi,Mara sijui Zitto Mara sijui Lisu kumbe midomo yenu ikiongea inatema upumbavu
 
Hapo wewe unaonaje ? Yuko sahihi au amekosea
Yuko sahihi kwa sababu asilimia kubwa ya watu kwa nchi zetu za afrika hatuna ajira za kulipwa kwa mwezi. Afya yako ndio ajira, ukiamka salama asubuhi lazima utoke ukaangaike ndio mlo wa nyumbani upatikane. Kwa hiyo ukikaa nyumbani ina maanisha kwamba maisha yako na wanao kutegemea yapo hatarini kwa njaa. Na amekosea kwa kutotekeleza anacho kisema/anacho kisimamia. Ukiangalia kwenye hiyo video utaona jinsi anavyo jichanga aidha na wasaidizi wake ama wakandarasi alio kwenda kuwakagua, ili kauli yake isibaki kuwa kauli tu, ilitakiwa hao anao ongozana nao kila mmoja awe umbali usio pungua mita 1 na nusu kwa mwenzake ili kuonyesha mfano kwamba fanyeni kazi lakini huu ndio utaratibu unao takiwa. Bila ya hivyo watu watachukulia kwamba kiongozi amesema tufanye kazi, lakini zile taratibu hazitotiliwa mkazo kwani kiongozi mwenyewe hakuonyesha mfano huo.
 
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM

Good work our focused leader

======

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.

“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.

Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.

Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.


Sent using Jamii Forums mobile app

Afungue shule za mkoa wa Dar es salaam na watoto waendelee kusoma.
 
Aisee, kabla ya kuandika vingereza vyako vya kukopi wikipedia ebu jiulize ni waTZ wangapi wanaweza kuishi siku 30 wakiwa wamejifungia ndani bila kufanya kazi?? kwa uchumi gani ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
Lugha ndio tatizo? Omba tafsiri uelewe hiyo tafiti ya maambukizo,Upo gizani kweli ndugu.
 
Wakati wa vita kuna kitu kinaitwa commanding post ambapo mashambuliz na mipango yote hufanyika.
Corona ni vita,commanding post imeshatangazwa.Ni wajibu wetu wote tufuate maagizo toka commanding post.
Tuombe Mungu,sijui itakuwaje tukifikiwa na hali kama ya Italy,Allah aepushie mbali!!
 
Unapoteza muda wako mkuu........huyo kapewa mamlaka na mkuu hadi uwezo wa kudhulumu uhai wa watz bila kuguswa.....
 
Wewe ni mgonjwa wa ajili,Tanzania ina Marc 30+ sasa sijui mh Samoa na majaliwa waanze kupiga ramli kumbaini ni RC yupi una chuki naye,wewe boya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom