RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

Jamani kwanini Tanzania tunaendeela kudhalilika kiasi hiki? Na bado wapo wanaoshangilia kituko hiki

1. Kila siku Waziri Mkuu, Waziri wa afya n.k. wanazungumzia COVID! kwa mujibu wa RC , je hawa ndio wanaotia hofu isiyokuwa na maana kwa Wananchi?

2. Wiki moja RC alisema Mbowe ajitokeze ili kutoa watu na kwamba alimtaja ili kulinda afya za watu.
Akamlaani kwa kufanya press na kusambaza ugonjwa. Leo RC huyo huyo hajui ugonjwa unavyosambaa

3. Duniani kote inajulikana wadudu ni Virus, leo RC wa Dar es Salaama anasema siyo Virus
Halafu anasema unasambaa kwa hewa, sijui hewa yenyewe bila virus ina madhara!

4. Italy wamefunga nchi wiki ya Tatu, Marekani within 24 watu 1400 wamefariki, Spain idadi ni hiyo.
Majirani zetu wa Kenya , Uganda na Rwanda wanachukua hatua, eti Tanzania tunakaidi tu.

5. Waziri Mkuu na Waziri wa afya, acheni kutoa update! ni kama kutia maji ndani ya ndoo inayovuja

Ninashukuru hiyo clip ipo kwa kiswahili, dunia ingetuona viumbe wa dunia nyingine.

Majirani wana kila sababu ya kutusema! Awamu ya tano ina tufedhehesha sana

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
 
Ukitaka kufa ukiwa umesimama iamini hii serikali. Imejaa wasanii wa kufa mtu!
Ina mpango wa kuwatoa kafra wajinga wote,na yeye basi atoke,mbona anahimize wengine wakabanane Congo street wakati yeye ameweka distance
 
Jamani kwanini Tanzania tunaendeela kudhalilika kiasi hiki? Na bado wapo wanaoshangilia kituko hiki

1. Kila siku Waziri Mkuu, Waziri wa afya n.k. wanazungumzia COVID! kwa mujibu wa RC , je hawa ndio wanaotia hofu isiyokuwa na maana kwa Wananchi?

2. Wiki moja RC alisema Mbowe ajitokeze ili kutoa watu na kwamba alimtaja ili kulinda afya za watu.
Akamlaani kwa kufanya press na kusambaza ugonjwa. Leo RC huyo huyo hajui ugonjwa unavyosambaa

3. Duniani kote inajulikana wadudu ni Virus, leo RC wa Dar es Salaama anasema siyo Virus
Halafu anasema unasambaa kwa hewa, sijui hewa yenyewe bila virus ina madhara!

4. Italy wamefunga nchi wiki ya Tatu, Marekani within 24 watu 1400 wamefariki, Spain idadi ni hiyo.
Majirani zetu wa Kenya , Uganda na Rwanda wanachukua hatua, eti Tanzania tunakaidi tu.

5. Waziri Mkuu na Waziri wa afya, acheni kutoa update! ni kama kutia maji ndani ya ndoo inayovuja

Ninashukuru hiyo clip ipo kwa kiswahili, dunia ingetuona viumbe wa dunia nyingine.

Majirani wana kila sababu ya kutusema! Awamu ya tano ina tufedhehesha sana

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Nilisema kwenye uzi mmoja kuwa naibu rais hawezi kukaa kimya,Ummy Kama umekasirika hama Dar.ccm oneni aibu basi kwa kutupatia viongozi wendawazimu
 
Kwa shughuli zote zitasimama wakati waalimu wakitengeneza Madaktari wapya kwa miaka 6?Halafu kwa ujinga wa WaTz wanaamini Daktari anafundishwa na Mwalimu,Mwalimu wa Daktari ni Daktari pia hao walimu mnaowasema ndio kila kitu uwezo wao unaishia kufundisha kusoma na kuandika labda sana Lugha na basics za science au biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kama mtu anafundisha basi huyu ni mwalimu mtu,tunawapa majina mengine like tutor, lecture,instructor etc ili kuwaongezea hadhi tu Ila ukweli wote na walamba chake,ndo maana wengine wamejisemea walikuwa jalalani.
 
Tanzania wananchi wanajifungia ndani lakin Serikal inawahamasisha watoke Nje wafanye kazi

Kwingineko Duniani Wananchi wanataka kutoka nje kuchapa kazi Serikal zao zinawazuia kwa hofu ya Corona

Maana yake Wananchi wa TZ ni waoga na wavivu wakati Serikal yao ni ya kijasiri na kichapa kazi

Kwingineko Serikal zao za kivivu na kioga wakati wanancho wao ni wachapakazi yaani ulivyoandika upupu apa umenifanya nitapike bia yangu nlokunywa kwa ela zangu masta
 
Jamani kwanini Tanzania tunaendeela kudhalilika kiasi hiki? Na bado wapo wanaoshangilia kituko hiki

1. Kila siku Waziri Mkuu, Waziri wa afya n.k. wanazungumzia COVID! kwa mujibu wa RC , je hawa ndio wanaotia hofu isiyokuwa na maana kwa Wananchi?

2. Wiki moja RC alisema Mbowe ajitokeze ili kutoa watu na kwamba alimtaja ili kulinda afya za watu.
Akamlaani kwa kufanya press na kusambaza ugonjwa. Leo RC huyo huyo hajui ugonjwa unavyosambaa

3. Duniani kote inajulikana wadudu ni Virus, leo RC wa Dar es Salaama anasema siyo Virus
Halafu anasema unasambaa kwa hewa, sijui hewa yenyewe bila virus ina madhara!

4. Italy wamefunga nchi wiki ya Tatu, Marekani within 24 watu 1400 wamefariki, Spain idadi ni hiyo.
Majirani zetu wa Kenya , Uganda na Rwanda wanachukua hatua, eti Tanzania tunakaidi tu.

5. Waziri Mkuu na Waziri wa afya, acheni kutoa update! ni kama kutia maji ndani ya ndoo inayovuja

Ninashukuru hiyo clip ipo kwa kiswahili, dunia ingetuona viumbe wa dunia nyingine.

Majirani wana kila sababu ya kutusema! Awamu ya tano ina tufedhehesha sana

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Kwenye uhakiki wa vyeti ilibidi serikali idanganye kwamba wanasiasa Kama Marc si watumishi wa umma bali watumishi wa Nani sijui na hivyo vyeti vya jamaa havikukaguliwa,so msamehe bure
 
Kwa shughuli zote zitasimama wakati waalimu wakitengeneza Madaktari wapya kwa miaka 6?Halafu kwa ujinga wa WaTz wanaamini Daktari anafundishwa na Mwalimu,Mwalimu wa Daktari ni Daktari pia hao walimu mnaowasema ndio kila kitu uwezo wao unaishia kufundisha kusoma na kuandika labda sana Lugha na basics za science au biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nyumba inaanza na Msingi
Kwani kabla madaktari hawajaanza kufanya kazi si wanafundisha na mwalimu??
Nani akifa ni hasara kubwa daktari au mwalimu?
Hivi daktari anaweza mtengeneza mwalimu au mwalimu anaweza mtengeneza daktari???
 
Huyo Zero Brain,sasa kawa msemaji wa Corona.
 
Asichaokijua Huyu bwana na aliyemteua ni kwamba juhudi zinazochukuliwa na hao MABEBERU hazitatuacha salama pindi janga ukiisha. Wao wakimaliza kwai hawatakuja kwetu kwa sababu watasema cc hatujakinga watu wetu hivyo yanawezekana kwa wakati huo wengi wamebaki na maambukizo bado. Watu hawa washamba wa wapi sijui? Kwani hayawezi kukaa kimya hadi kila kitu waseme? Ndo mana walipewa maulimi mapana sijui

Sent using Jamii Forums mobile app

Sahau
Waache dhahabu hivihivi tu, lazima wata fight ili wakija kuchukua dhahabu wasipate korona. Ha ha ha
 
Maisha ni hesabu, na hesabu hazidanganyi, wale waliowafungia namba ya waathirika inaongezeka na wale walioamua kujikita kuelimisha wananchi juu ya ugonjwa huu namba haziongezeki kwa kasi kivile.

Historia pia haidanganyi, ukisoma kitabu cha Daniel katika biblia takatifu, mfalme Wa babeli aliwakataza watu kumwabudu Mungu Wa kweli na badala yake waabudu miungu yake na wale hawakutii walikiona cha moto.

Kuuabudu ugonjwa huu hakuna tofauti na nyakati zile, tumeona Kenya na kwingineko watu watu wakipokea vipigo na wengine kupoteza maisha kwa sababu ya kutotii amri ya kuabudu Corona.

Sisi na Magufuli wetu wacha tumtegemee Mungu Wa kweli huku tukifuata elimu na maelekezo ya wataalamu wetu wakati pia Tukiomba Mungu kila mtu kwa imani yake tushinde jaribu hili.
Mkuu kitu watz nimewapenda, kila kona ukienda kuna ndoo ya maji ya kunawa, hapa dar kwa mfano selikali imehimiza kila frem ya biashara iwe na ndoo ya maji ya kunawa na sabuni. Na agizo limeitikiwa, hadi kwenye vituo vya bodaboda kuna maji ya kunawa.

Kwahiyo hili suala likisha selikali inaweza kupat a credit kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania wananchi wanajifungia ndani lakin Serikal inawahamasisha watoke Nje wafanye kazi

Kwingineko Duniani Wananchi wanataka kutoka nje kuchapa kazi Serikal zao zinawazuia kwa hofu ya Corona

Maana yake Wananchi wa TZ ni waoga na wavivu wakati Serikal yao ni ya kijasiri na kichapa kazi

Kwingineko Serikal zao za kivivu na kioga wakati wanancho wao ni wachapakazi na majasiri



Sent using Jamii Forums mobile app
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAVICHA watakuja kugaragara na kalio zao wakizielekeza juuh kupinga hili

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Makonda chapa kazi inawezekana Kuna binadam hapa hawajakuelewa kabisa kuwa wewe ninani, binafs nakukubali sana
 
Back
Top Bottom