Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Una akili mbovu + kiingereza kibovuKula kunachangia nini Na corona,bora angesema marufuku kupanda daladalaa,au kwenda kariakoo, corona confuse people and people confuse people,wht went wrong?
Sent using Jamii Forums mobile app
ila makonda sometime ni kama anaumwa ugonjwa wa akiliIli kuepuka corona wakaazi wa Dar wapigwa marufuku kula kwa mama lishe, hili agizo siyo kama linakiuka aliyoagiza Rais na waziri mkuu kuwa hawata fungia watu ndani!
Kitendo cha kupiga marufuku watu kula kwa mama lishe maana yake mama lishe marufuku kutoa huduma, Hiyo ni lockdown tayari.
Chanzo: Gazeti la Mtanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata vitu vinavyohusu afya yako unataka serikali ikugawie, atakayekufa nani wewe au serikali?Katika yale mabilioni yaliyochangwa kudhibiti corona wanunue hizo masks wagawe bure kisha ndiyo waje na hayo maamrisho yao.
Kula kwa mama ntilie,hotel,bars ,wachoma chips kwa mji ulioathirika na corona Ni hatariKula kunachangia nini Na corona,bora angesema marufuku kupanda daladalaa,au kwenda kariakoo, corona confuse people and people confuse people,wht went wrong?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko sawaila makonda sometime ni kama anaumwa ugonjwa wa akili
Kweli mkuuu yaani maamuzi yao ni nusunusu mno hayajakamilikaInatumika nguvu kubwa kuzuia mikusanyiko ktk bar...
Ni heri wangezuia shughuri za bar, hotel, mamalishe, usafiri wa abiria kwa kutoa tamko linaloeleweka... Wakati huohuo watoe na njia mbadala wa kupata huduma hizo.
Mkuu vipi kuhusu daladala na baa. Huko nako ni hatari kweliYuko sawa
Lockdown in slow motionVipi mazingira ya site? Mfano watu wanaojenga barabara, watakula wapi? Maana bila mama ntilie sehemu zingine ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari kweli kweli kwa mji ambao tayari uko na corona,Mkuu vipi kuhusu daladala na baa. Huko nako ni hatari kweli
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Magazeti ya bongo ndivyo yalivyo mkuu, alichokizungumza ni kuwa ifanyike huduma ya take away, siyo watu wajazane kula kwa mama ntilie, which is true!!Ili kuepuka corona wakaazi wa Dar wapigwa marufuku kula kwa mama lishe, hili agizo siyo kama linakiuka aliyoagiza Rais na waziri mkuu kuwa hawata fungia watu ndani!
Kitendo cha kupiga marufuku watu kula kwa mama lishe maana yake mama lishe marufuku kutoa huduma, Hiyo ni lockdown tayari.
Chanzo: Gazeti la Mtanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
AMESEMA TUVAE BARAKOA WAKATI BADO KUNA MIKUSANYIKO MIKUBWA WANAIANGALIA
Na wanaume wafuge ndevu na sharubu zifunike midomo na mapua.Wengine tunavaa hijab mambo ya kujistir [emoji3191] na midomo tunafunika ninja