Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askofu na katibu wanatoka ukoo mmoja?Shoo ni majina ya ukoo.
Bwashee kwani Shoo wote ni mapacha?Askofu Shoo, katibu Shoo; ni mapacha hawa?!
Amina,Mtumishi wa Mungu kwa kuwa Mkweli...Nasikiliza hapa Askofu shoo anashindilia nyundo kuwa sisi tusijione kuwa ni bora kuliko nchi zingine, pia anasema tusijitenge na mataifa mengine katika vita dhidi ya corona. Pa ameshauri kuwa tusifurahie vifo vya wenzetu
Ilikuwa bado haijadhihirika bwashee!Huyo mkuu wa mkoa basi atakuwa mnafiki,maanake juzi wakati meya wa Moshi anawaamrisha wenzie wavue barakoa,kwa kisingizio kwamba Moshi hakuna Corona,sikusikia hamkaripie wala kumpa onyo.
....ametoka kufanya tathimini ya ugonjwa huo ....Yeye na Kamati Ya Ulinzi na Usalama....Vingozi wetu waajabu sana huyu mama juzi kakataa kabisa Kilimanjaro hamna Corona leo iweje akiri kuna Corona? Mbona hajielewi?
Hakika bwashee!....ametoka kufanya tathimini ya ugonjwa huo ....Yeye na Kamati Ya Ulinzi na Usalama....
Technically kwa Imani yake si kule ni bora na panafaa kuliko huku ?, Sasa kwanini asifurahie mwenzake kwenda sehemu bora zaidi ?"....tusifurahie vifo vya wenzetu.." Askofu Shoo
Uteuzi wake utatenguliwaAisee !!!!
Huyu mama si majuzi tu alisema hali ni Shwari? Au alingoja Askofu afe ili a-confirm ushwari wa mambo?, Au Alingoja Marathon iishe ? Au ugonjwa umeingia jana ?
Ameamua kulipua mama wa watuNi sera ya CCM kuwa Corona haipo, huyu mama tutamrudisha kijiweni
Huyu mama kama jua la kesho litazama bila kutumbuliwa basi ana Mungu wake! Yaani anasema kabisa ametoka kufanya tathmini Mawenzi hospital na KCMC na amekuta hali si shwari?RC corona imetoka wapi tena na wakati haipo?
Na ametaja watu wanne waliokufa juzi na jana katika Kanisa lao!Aliposema K'njaro hakuna Covid 19 na maiti zinatoka mikoa mingine alimaanisha nini?
Siyo rahisi kwa sababu ameitoa madhabahuni mbele ya jopo la maaskofu!Kesho ataikana hii kauli