johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Waliomkubalia ni mbwiga kabisa!Halafu Meya anasema watu wavue barakoa mkutanoni, kweli nchi hii tumefika mahali pabaya katika matumizi ya vyeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliomkubalia ni mbwiga kabisa!Halafu Meya anasema watu wavue barakoa mkutanoni, kweli nchi hii tumefika mahali pabaya katika matumizi ya vyeo
Msema chochoteMkuu wa mkoa wa Kilimanjaro mh Anna Mghwira amesema kifo cha bwana Arther Shoo aliyekuwa Katibu mkuu wa KKKT dayosisi ya kaskazini ni ushahidi kuwa Corona imerudi tena.
RC Mghwira ambaye ameongozana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa katika ibada ya mazishi ya Shoo amesema kamati yake imetoka kutathmini hali ya maradhi haya katika mkoa na amewaomba wananchi kuendelea kuchukua tahadhari zote.
Naye askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amesema kuanzia mwezi January Kanisa limezika watu wengi hivyo amewaomba waumini kuchukua tahadhari tena na tena dhidi ya Corona kwa sababu ugonjwa huu upo na unaua.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!