Kwa Mara ya kwanza Geita imepata kiongozi. SIJAMTAJA mtuMkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Naona hapo kuna jamaa kaona fursa ya kuwabeba watu ....safi sana
Airport zote Tanzania zinakarabatiwa na zote ni muhimu.
Kumbuka ukanda ule ardhi yake ni madini matupu hivyo ni suala la muda tu maendeleo kufika.
acha majungu malaya weekila ktu chato kila kitu chato? wewe umifanyia nini nchi unalalamika ufanyiwe kila utakalo?Stendi ya Chato pia Ina matope?
Aende hapo jilani Kahama Awana sitendi Wala soko.
Kiongozi wa wanyonge aliona bora kujenga stand ya ndege kwa kiwango cha lami (Chato International Airport) wilayani, akawaacha wanyonge hawana stand nzuri makao makuu ya mkoa.Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
🤣Cc. Mwendazake
aishangea CCM yake ambayo hukusanya kodi zote za nchi hii!!Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni e lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Mbona kile ki RC kilichokuwepo kilikuwa kinajitutumua sana kilishindwaje kuondoa hiyo aibu, huko si ndiko walinunua gari la DED la 400Mil?Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Kwani Kibajaji kwake kuna nini cha maana. Hawa watu kelele nyingi bungeni wakijifanya wafia nchi/CCM kumbe hawana faida kabisa kwa wapiga kura wao. Hata Job naye ni mule mule, Kongwa ni shida tupu.Zile mbwembwe za musukuma kumbe stendi yake ni tope tupu kama Bukoba!!
Hivi hiyo pesa iliyowekwa hapo ikisubiri miaka 30 au 50 ijayo iweze kuleta hiyo maana, leo hii isingetumika kujenga madarasa, kutengeneza madawati, kusambaza vitabu mashuleni, kujenga mahospitali, kusambaza madawa mahospitalini nk? Au kote huko tumejitosheleza hadi tukazilaze pesa hizo hapo Chato zije ziwafaidishe wajukuu wetu miaka 50 ijayo?Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
stand ya chato ni dhofilihaliAlikuwa busy na Chato pekee
Ndiyo nini?stand ya chato ni dhofilihali
choka mbaya ipo hoiNdiyo nini?
Huyo ni mmarangu!