RC mpya wa Geita ashangaa stendi kuu ya Mkoa kuwa ya matope wakati kuna utajiri wa dhahabu

Nilisikia mkoa huu huwa unnapata zaidi ya bilion 2 kutoka migodi ya dhahabu kila mwaka? Jama ni kweli, wanashindwa kujenga hata stendi ya milioni 500?!!!!!!
 
Anashangaa kwani yeye ni mgeni nchi hii???
Hakuwepo Tanzania kwa muda mrefu????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…