RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Hayo makampuni Wachaga wanamiliki kwa wingi sana
Katika orodha ya Soko la hisa dar,katika mabilionea kumi wazungu na wahindi ni 6 weusi wanne,wote Wachaga
Wahaya kwa biashara Bado sana
Kwan kaongelea biashara...halafu hajasema wachaga hawamiliki? Why are you insecure you chagga...kwan haiwezekani wachaga na wahaya kumiliki makampuni wote...


Angalia kwenye wamiliki wa makampuni ya Ujenzi,viwanda mfano kiwanda kikubwa cha wine pale Dodoma, viwanda vya maji kama Asilia nk...
Nenda kwenye makampuni ya Tech mfano Biotech, Agrotech, Indrive nk
 
Waha wanapenda sana kujiajiri, wameiteka Kariakoo, maduka mengi ya vitenge, vifaa ya electonics n.k ni ya Waha. Naona kuna ukweli kiasi flani.
Hao ni wachuuzi,Wachaga biashara za kuuza vitenge washavuka wapo level nyingine
Ila hongera kwao wanaanza vizuri
 
kwasababu yeye mnyantuzu? Hana matokeo ya utafiti, acha ukabila. Hao uliowataja bado ni maskini sana nenda vijijini mwao. Kwanza km amezungumzia huo ujinga hapaswi kuendelea kuwepo kwenye hiyo nafasi.
Punguza makasiriko
Mtaka Wala sio mnyantuzu,ni mjita[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hazungumzii ukabila bali mchango wa makabila ktk mchango wa maendeleo ya kiuchumi ili iwe chachu kwa wengine kujitafakari.
Kaongea ukweli mtupu hata asingeongea ndo ukweli wenyewe
Tatizo mijitu mingi siku hizi uwezo wa kutafakari mambo umekuwa wa hali ya chini sana pamoja na wengi kwenda shule. Ndio maana Ney wa mitego anawaponda wasomi wa siku hzi na yupo sahihi kabisa. Wanaom-attack RC Mtaka kwamba anachochea ukabila ni wavivu wa kufikiri na hawajui hata maana ya ukabila. Hawa ndio mwenzao akifanikiwa bsai wao wanakasirika. Wanadhani kuongelea makabila fulani na kuacha mengine kwenye jambo fulani based on fact basi kwao tayari huo ni ukabila .

Mbona siku zote tunasema Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa ma makabila mengine machache wamesoma kuliko makabila mengine mengi hapa TZ? Je huo nao ni ukabila au ni fact? RC Mtaka kaongea fact na ndivyo ilivyo na wanaobisha kuhusu hili hawaijui Kariakoo. Sasa kuna punda zingine humu zinakurupuka tu na kuongea pumba+mashudu!
 
Back
Top Bottom