shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Hujui kitu
Mkinga kakaribishwa na mchaga juzi kariakoo
Wachaga wapo level zote
Mfano mmiliki WA précision Hizo Hela zote si anakusanya wakinga "wenye Hela" kama 1000?
Wachaga biashara ndio wameishika neno kwa mangi ni ushahidi
Mkinga kwa mchaga bdo
Hawa ndio matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania,
Nimekuwekea list ya matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania. Matajiri wenye hisa nyingi kwenye makampuni makubwa Tanzania. Katika top 10. Weusi wapo wanne tu 6 waliobaki wote ni weupe. 1. Patrick Schegg Net worth on the DSE: $23.5-million / 57,598,500,000 Tshs/= Holdings: NMB...
Pitia na hyo