RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Hujui kitu
Mkinga kakaribishwa na mchaga juzi kariakoo
Wachaga wapo level zote
Mfano mmiliki WA précision Hizo Hela zote si anakusanya wakinga "wenye Hela" kama 1000?
Wachaga biashara ndio wameishika neno kwa mangi ni ushahidi
Mkinga kwa mchaga bdo

Pitia na hyo
 
Haya mambo ya makabila yanatoka wapi tena? Ni aibu kwa kiongozi wa kitaifa kuanza kuelezea jambo lo lote kwa kuunganisha na kabila la mhusika. Mfano mzuri ni wa jiji la Dar ambalo linachangia vikubwa kwenye mapato ya serekali. Kwa kuwa wenyeji wa lilipo jiji ni Wazaramo, basi tuseme Wazaramo wanachangia vikubwa kwenye serekali? Tuachane na ukabila kuendeleza umoja wa nchi.
 
Mzawa unamaanisha mwafrica au. Coz mwarabu yupo hapa karibu miaka mia 5 sasa wakati inawezekana kuna waafrica wamehamia wakawakuta
Namaanisha Sisi wenyeji weusi kama wazaramo, waha,wamatumbi tumeelewana?
 
Hyo ni acknowledgement SIO ukabila
Punguza chuki
Chuki kwenye nini?? Yani nichukie mtu kisa ni kabila fulani?? Naweza kuwa mpumbavu lakini Sina upumbavu wa namna hiyo. Njaa/umasikini anaoupata mmatumbi ndio njaa hiyo hiyo inayompata mpogoro, elfu 10 anayomiliki mzaramo thamani yake ndio ile ile ya elfu 10 anayomiliki mjita, acheni fikira duni.
 
Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka

Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu/Wasukuma

My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tu.
---

MAKABILA 5 MUHIMU ZAIDI UKUAJI SEKTA BINAFSI TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesesma kuna jamii 5 muhimu zinazochangamsha ukuaji wa sekta binafsi, uchumi wa nchi na biashara kiujumla, huku akizitaja jamii hizo kuwa ni; Watu kutoka Kilimanjaro, Wakinga, Waha, Wapemba na Wanyantuzu.

RC Mtaka ameyazungumza hayo katika mahojiano maalum na Charles William kuhusu hali ya uwekezaji, biashara na kilimo katika mkoa wa Njombe.

Wasafi Media
Sintaongelea wengine. Lakini Wakinga kwangu hawana maana kwa sababu pamoja na utajiri wao, hawana social life kwa kuwa wanapata utajiri kwa masharti ya kishirikina
 
Sintaongelea wengine. Lakini Wakinga kwangu hawana maana kwa sababu pamoja na utajiri wao, hawana social life kwa kuwa wanapata utajiri kwa masharti ya kishirikina
Tajiri na social life wapi na wapi? Hana mda
 
Kama Waha ndio wale wenyeji wa Kigoma, akumbushwe kuwa Kigoma ni mkoa wa Pili kama sio wa tatu kwa umasikini Tanzania yote!
Ulitaka wafanye harambee za pesa zao binafsi ndio wakajengee miundombinu ya uchumi ambayo Serikali imeamua Kwa Makusudi kutoipeleka Kigoma? Ndio maana wamekimbia wakaenda kuchukua pesa kwingine na wanazo.
 
Back
Top Bottom