RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Tajiri wa kuvaa kandambili au kulala chumba cha store naye siyo tajiri huyo. Tajiri anafanya malipo usiku tu sasa huo utajiri utumwa?
Ndio ulivyokaririshwa? Tafuta kina Mwajuma wa Tanga mka socialise sie tunatafuta pesa hatuna mda wa kipuuzi
 
ukweli umesemwa na ukichunguza ni sahihi.

Eneo lolote lililochangamka kibiashara huwezi kosa hayo makabila 5, na

Wachaga
wakinga
waha
wanyantuzu (wasukuma) From bariadi
Wapemba hawa nahisi zaidi ni Dsm ila mikoa ya pembeni wapemba siyo wengi.

Pia alizungumzia zaidi KARIAKOO

Akasema ukiondoa hayo makabila kariakoo utapafunga coz hao ndiyo wameshika kariakoo.

Utafiti hupingwa kwa utafiti mwingine.
 
Ulitaka wafanye harambee za pesa zao binafsi ndio wakajengee miundombinu ya uchumi ambayo Serikali imeamua Kwa Makusudi kutoipeleka Kigoma? Ndio maana wamekimbia wakaenda kuchukua pesa kwingine na wanazo.
Kabisa umesema vyema.
 
Waha wanaupiga mwingi mdogomdogo ndiyo gari linawaka hivyo.
 
Kuna watu hawakutajwa kwenye list hiyo basi wanaumia sana , ndugu zangu tufanye kazi hiyo list ni sahihi na hajakosea
 
Kuna ukweli makabila watajwa hapo Ni wapambanaji wasio kata tamaa Wana uwezo wa kujinyima ili kufikia malengo ya mafanikio
 
Wahaya hawamiliki maduka mtaani ila tafuta wamiliki wa makampuni makubwa makubwa hotels na logistics company ndo mtaelewa
 
Wahaya hawamiliki maduka mtaani ila tafuta wamiliki wa makampuni makubwa makubwa hotels na logistics company ndo mtaelewa
Hayo makampuni Wachaga wanamiliki kwa wingi sana
Katika orodha ya Soko la hisa dar,katika mabilionea kumi wazungu na wahindi ni 6 weusi wanne,wote Wachaga
Wahaya kwa biashara Bado sana
 
Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka

Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu/Wasukuma

My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tu.
---

MAKABILA 5 MUHIMU ZAIDI UKUAJI SEKTA BINAFSI TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesesma kuna jamii 5 muhimu zinazochangamsha ukuaji wa sekta binafsi, uchumi wa nchi na biashara kiujumla, huku akizitaja jamii hizo kuwa ni; Watu kutoka Kilimanjaro, Wakinga, Waha, Wapemba na Wanyantuzu.

RC Mtaka ameyazungumza hayo katika mahojiano maalum na Charles William kuhusu hali ya uwekezaji, biashara na kilimo katika mkoa wa Njombe.

Wasafi Media
View attachment 2701854
kwasababu yeye mnyantuzu? Hana matokeo ya utafiti, acha ukabila. Hao uliowataja bado ni maskini sana nenda vijijini mwao. Kwanza km amezungumzia huo ujinga hapaswi kuendelea kuwepo kwenye hiyo nafasi.
 
Na Wahindi wameigawana hii nchi, wanakula kwa kutulia tuli.

Dar es Salaam = Wote.

Dodoma, Kanda ya Kati = Gulamali.

Singida = Mo Dewji.

Morogoro = Abood.


Tanga = Binslum.

Shinyanga = Jambo Group.


Wengine enedeleeni kuuza bar, kuchoma kitimoto, na kuuza maduka mkiamini mnakuza uchumi.

Pumbavu zenu
Acha chuki wewe !!! Umenuna!! Wanatajwa waafrika wewe unaleta uhindi!? Akili matope!? Anyway namshangaa huyu RC
 
Waha wanapenda sana kujiajiri, wameiteka Kariakoo, maduka mengi ya vitenge, vifaa ya electonics n.k ni ya Waha. Naona kuna ukweli kiasi flani.
 
Back
Top Bottom