RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Vitu vingine ni bora ukae kimya km hujui ukweli wake uchumi wa nchi nyingi za kiafrica upo mikonono mwa mweupe nyie weusi bakini kushabikia ukabila tu na baada ya miaka 20 mbele tutaanza kuwakamata na kuwauza kwenye mashamba ya mamba km chakula
Tunazungumzia wazawa ktk economy yetu wewe unaleta HBR za wageni
Nyie ndio maana mitihani mlikuwa mnafeli[emoji3][emoji3]
 
Kwa sasa wanaongoza WAKINGA kwa kuwa na pesa ndefu na biashara kubwa. Siyo wachaga. Wakinga wana nidhamu kubwa sana ya kutunza pesa. Kariakoo wanaitawala. Sasa wameanza kuwekeza kwa kasi kubwa sana DODOMA.
Hujui kitu
Mkinga kakaribishwa na mchaga juzi kariakoo
Wachaga wapo level zote
Mfano mmiliki WA précision Hizo Hela zote si anakusanya wakinga "wenye Hela" kama 1000?
Wachaga biashara ndio wameishika neno kwa mangi ni ushahidi
Mkinga kwa mchaga bdo
 
Hujui kitu
Mkinga kakaribishwa na mchaga juzi kariakoo
Wachaga wapo level zote
Mfano mmiliki WA précision Hizo Hela zote si anakusanya wakinga "wenye Hela" kama 1000?
Wachaga biashara ndio wameishika neno kwa mangi ni ushahidi
Mkinga kwa mchaga bdo
Kwa hiyo nyie makabila mengine mnalishwa na wachagga au mnajitegemea?
 
Mtoa mada subiria povu jingi kwa watu wa makabila ambayo hayajatajwa
 
Back
Top Bottom