RC Mtaka yupo sahihi. Ni kweli kabisa viongozi wetu hawana uchungu na elimu ya watoto wetu

Namna alivyo ongea Mtaka ni Kama anavyo ongea Tundu Lisu, kujifanya wewe unafahamu Mambo kuliko wenzako na kuliwasilisha Jambo kwa kebehi na majivuno ata Kama una ujumbe sahihi lakini kuwakilisha kwako kwa majivuno na kiburi si tu binadamu wenye uelewa watakushangaa lakini ata Mungu hapendi wenye Viburi.

Kiburi na dharau kimemletea Lisu matatizo mengi, Mtaka alikua anapendwa na wengi lakini wale wenye ufahamu na wanyenyekevu wa Mambo wata anza kua na wasiwasi nae juu ya tabia ambayo hawakua waki ifahamu Kama alikua nayo.
 
Wewe nguchiro ukilaza wako mpelekee mkeo na wanao. Mtaka mmemtisha na yeye ana familia inayomtegemea na mbaya zaidi wanafiki kama ninyi mmejaa nchi hii, hivyo baba wa watu ameona isiwe tabu.
Mkuu wala usingemjibu kwa heshima hivyo, huyu ni just baadhi ya mifano ya kilicho elezwa na UZI, UZI uko wazi sana kwamba Watanzania wengi ni wanafiki, unafiki huo ndio umesababisha hata soko la Kariakoo kuungua so huyu ni moja kati ya sample hizo
 
Mkuu wala usingemjibu kwa heshima hivyo, huyu ni just baadhi ya mifano ya kilicho elezwa na UZI, UZI uko wazi sana kwamba Watanzania wengi ni wanafiki, unafiki huo ndio umesababisha hata soko la Kariakoo kuungua so huyu ni moja kati ya sample hizo
Shukrani mkuu. Nimeshampotezea huyu mchumia tumbo.
 
Watanzania wana roho mbaya sana mkuu.
na upumbavu mwingi sana. mtu una akili timamu unamsupport waziri ambaye watoto wake hawasomi shule za kata.....ujinga wa watanzania wengi bado wanaamini kuwa jukumu la kusomesha watoto wao ni la serikali
 
elimu ni nzuri ndio maana imepewa masaa 9, masaa mengine wanafunzi wajifunze stadi za maisha......kwanza wakae makambi na wakeshe kwa ajira gani??.....maana elimu yetu practically haipo vizuri.....
 
Hawa viongozi wapo kuua elimu yetu ili waendelee kututawala
Kweli kabisa ndio maana hawataki kuboresha mazingira ya shule zetu ili kusudi watoto wao waje kuwa watawala wa watoto wetu ambao wamepitia mfumo wa elimu duni na kama wazazi tusipoamka na kuibana serikali basi watoto wetu watabaki kuwa wasindikizaji
 
Kwanza mbna ndalichako kazi yake sioni, maan madaraka yake yote yapo Tamisemi. Khaaaaah
 
Hili la watoto wa viongozi kutosoma shule za serekali niliwahi kumwambia Mwigulu Nchemba. Utetezi aliotoa ni bora angekaa kimya tu.
Alisemaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na ndo inatakiwa hata hapa.
 
Mtaka yuko sahihi sana. Tena sana. Changamoto kwangu ndogo ni moja tu. Asingegusia kabisa kuhusu Waziri kama Waziri aliwahi kuongea ujinga huko nyuma. Yeye angeng'ang'ania tu kusema waweke kambi, wasome kwa bidii, watumie muda mrefu kusoma. Hilo tu
 
Mtaka ni aina ya viongozi ambao hawataki makuu hasa endapo asilimia kubwa ya watu anao waongoza wana hali duni kimaisha, typical Nyerere style......unaona anavyosisitiza kwamba wao watoto wao wanasoma kule.....viongozi wasio na ubinafsi ndo wanahitajika kwa sasa kwani wanakuwa wanahisi shida za wananchi na wanakuwa tayari kuyachukua kama matatizo yao wenyewe....
 
Kwanza mbna ndalichako kazi yake sioni, maan madaraka yake yote yapo Tamisemi. Khaaaaah
Ndalichako kwenye hili saga kaangushiwa jumba bovu tu na watu wasiopenda awepo pale lakini mtu wa kwanza anayetakiwa kulaumiwa ni ummy mwalimu kwakuwa ndiye amepewa jukumu la kusimamia elimu lakini muda wote yuko ofsini anakula kiyoyozi alafu anatoka na matamko ya ajabu ajabu mara shule hazina walimu wa physics sasa anashindwa nini kuwaajiri??
 
Mtaka yuko sahihi sana. Tena sana. Changamoto kwangu ndogo ni moja tu. Asingegusia kabisa kuhusu Waziri kama Waziri aliwahi kuongea ujinga huko nyuma. Yeye angeng'ang'ania tu kusema waweke kambi, wasome kwa bidii, watumie muda mrefu kusoma. Hilo tu
Hatutafika popote kama tutaendelea kufichana kuambiana ukweli kwenye mambo ya msingi kama hili la elimu. Kwa hapa tulipofikia tunahitaji akina mtaka wengi zaidi wenye ujasiri wa kusema ukweli mchungu bila kupepesa macho wala kuoneana aibu ili hatua muhimu ziweze kuchukuliwa kunusuru elimu ya watoto wa watanzania maskini
 
Tulazimishe watoto wa mawaziri wasome shule za umma na wao.
Kwenye darasa lenye wanafunzi 80+? Viti vinaunganishwa vitatu wanakaa wanafunzi wanne? Hawawezi kuwapeleka huku sio ajili yao....
 
Mtaka yupo sahihi,elimu yetu inawekwa rehani na aina ya viongozi tuliowachagua.kambi za masomo inaonekana zinasaidia Sana watoto wa kimaskini ambao wazazi wao waliuza mbuzi ,ng'ombe na kuku ili kupeleka watoto wao shuleni.Mtaka hapaswi kukata tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…