Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wapuuzie haoNakazia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzie haoNakazia.
Eti mkuu wa mkoa anashindisha watoto kwa makambi! Makambi pumbaf! Tangu wanaanza shule alikuwa wapi? Wanaingia mwaka wa mwisho wengine hawajui kusoma hata kuandika, anataka washinde kwa makambi.elimu ni nzuri ndio maana imepewa masaa 9, masaa mengine wanafunzi wajifunze stadi za maisha......kwanza wakae makambi na wakeshe kwa ajira gani??.....maana elimu yetu practically haipo vizuri.....
Mtaka is so useless that we who know the stupidity in him, won't dare inviting him for any serious event, unless you are fond of theories.Mtaka ni aina ya viongozi ambao hawataki makuu hasa endapo asilimia kubwa ya watu anao waongoza wana hali duni kimaisha, typical Nyerere style......unaona anavyosisitiza kwamba wao watoto wao wanasoma kule.....viongozi wasio na ubinafsi ndo wanahitajika kwa sasa kwani wanakuwa wanahisi shida za wananchi na wanakuwa tayari kuyachukua kama matatizo yao wenyewe....
Nyie mnaosomesha watoto Canada na kwenye International schools hamuwezi ku feel shida za wananchi, acheni Mtaka apige kazi yeye anapenda kutatua matatizo ya wananchi at the grassroots. Nyie endeleeni kukaa kwenye viyoyozi na kutoa matamko kwenye luninga......Mtaka is so useless that we who know the stupidity in him, won't dare inviting him for any serious event, unless you are fond of theories.
Inaghafirisha sana ndio maana mtaka kaongea kwa hamaki kubwaMtoto wa waziri atasomaje shule dalasa moja wanafunzi 630! Ukimwambia waziri hizi ndo shule zetu wala ahamini sababu ukweli nikuwa mambo ya Kayumba hawayajui kwahiyo matamko yake anaona sawa tu
Watoto wa Mwigulu mwenyewe wapo feza schools ada 9.5M kwa mwaka.Hili la watoto wa viongozi kutosoma shule za serekali niliwahi kumwambia Mwigulu Nchemba. Utetezi aliotoa ni bora angekaa kimya tu.
Watoto Kassim Majaliwa ( Waziri mkuu ) wapo Feza wanasoma hadi saa sita usiku.elimu ni nzuri ndio maana imepewa masaa 9, masaa mengine wanafunzi wajifunze stadi za maisha......kwanza wakae makambi na wakeshe kwa ajira gani??.....maana elimu yetu practically haipo vizuri.....
Wewe mjinga sana hapo wenye makosa ni mawaziri TAMISEMI na ELIMU sio MTAKA.Eti mkuu wa mkoa anashindisha watoto kwa makambi! Makambi pumbaf! Tangu wanaanza shule alikuwa wapi? Wanaingia mwaka wa mwisho wengine hawajui kusoma hata kuandika, anataka washinde kwa makambi.
Mkuu haya mambo yanauma sana watu hawajui tuu. Mtaka alighadhibika kwa hali ya kaya maskini watoto mazingira wanayowekewa na wanasiasa ambao watoto wao hawasomi hizo shule.Mtaka alikuwa na hoja nzuri ila hakuweza kutumia busara na kujua mipaka ya majukumu ya kazi yake. Waziri wa elimu anamaamuzi juu ya elimu kiujumla . Mtaka angependa kutengua hoja ya waziri wa elimu ni bora angejadiliananaye ili kuleta maelewano mazuri ya kiutendaji. Mtaka kwa kufanya ivi tusishangae kuna siku atakuja kumkemea hata Raisi wetu wa Jamhuri wa Muungano eti sababu anawatumikia wananchi. Mtaka ameonesha ni kiongozi mpenda kujikweza ili magazeti na vyombo vya habari vimtaje taje
Kwa hiyo ameleta ukombozi kwa makambi. Au anachochea waibe mitihani? Ni mkuu wa mkoa, awe na mipango ya kuboresha elimu mkoani kwake siyo kuja na makambi ya wanaofanya mitihani. Yaani wafundishwe maswali na majibu washinde, apewe sifa.Mkuu haya mambo yanauma sana watu hawajui tuu. Mtaka alighadhibika kwa hali ya kaya maskini watoto mazingira wanayowekewa na wanasiasa ambao watoto wao hawasomi hizo shule.
Uko sahihi!! Sera ya elimu iko chini ya Wizara na siyo mkuu wa mkoa. Hakuna mkoa wenye sera yake ya elimu. Huyu ni wale waliosifiwa, wao bila kujipima maana yake sasa najiamini ana ufahamu mkubwa wa kila kitu.Mtaka alikuwa na hoja nzuri ila hakuweza kutumia busara na kujua mipaka ya majukumu ya kazi yake. Waziri wa elimu anamaamuzi juu ya elimu kiujumla . Mtaka angependa kutengua hoja ya waziri wa elimu ni bora angejadiliananaye ili kuleta maelewano mazuri ya kiutendaji. Mtaka kwa kufanya ivi tusishangae kuna siku atakuja kumkemea hata Raisi wetu wa Jamhuri wa Muungano eti sababu anawatumikia wananchi. Mtaka ameonesha ni kiongozi mpenda kujikweza ili magazeti na vyombo vya habari vimtaje taje
Ndomaana tunataka katiba mpya,unasema kukemea rais kwani hapa halicho hongea kuna uhongo gani na hata kama ni raisi kwani ukweli isisemwe!Mtaka alikuwa na hoja nzuri ila hakuweza kutumia busara na kujua mipaka ya majukumu ya kazi yake. Waziri wa elimu anamaamuzi juu ya elimu kiujumla . Mtaka angependa kutengua hoja ya waziri wa elimu ni bora angejadiliananaye ili kuleta maelewano mazuri ya kiutendaji. Mtaka kwa kufanya ivi tusishangae kuna siku atakuja kumkemea hata Raisi wetu wa Jamhuri wa Muungano eti sababu anawatumikia wananchi. Mtaka ameonesha ni kiongozi mpenda kujikweza ili magazeti na vyombo vya habari vimtaje taje
Tatizo lililopo ni viongozi wa juu kabisa wa nchi, uwezo wa ku unify education sysrem yetu wanao lakini kwakuwa wana maslahi binafsi juu ya hilo, wanakaa kimya, chukua mfano wa yule aliyefuta masomo kadhaa kwenye shule za sekondari, huwa najiuliza kama wao wangesoma kibaguzi kama wanavyofanya sasa, wangekuwa kwenye hizo nafasi?Kwa kauli hiyo ya waziri kama mtu una uchungu na elimu unaweza kujikuta unatumia lugha ngumu kama aliyotumia Antony Mtaka kukemea uongo huo. Kwa sababu sisi wazazi tunaosemesha watoto wetu kwenye hizi shule za kata ndio tunajua adha wanazopata watoto wetu ikiwemo kukosa vipindi kwa sababu ya kutokuwa na walimu wa sayansi lakini waziri anatoka usingizini na kulipuka kwamba tatizo la walimu wa sayansi limekwisha. Hivi waziri kama huyu unaweza kusema ana uchungu kweli na elimu ya watoto wetu?
Kiswahili lugha yangu wanakuchinja kikavu kikavu bila kosa. Mungu akurehemuhapa halicho hongea kuna uhongo