RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Mimi kilasiku nitaendelea kumlaumu RC

Kwa heshima na cheo chake hakutakiwa kutoka na watoto under 30

Kuna mashangazi wengi WANAJITAMBUA inamaana hakuwaona ???
Hakuna shida hata kama angetoka na binti wa miaka 20 kwa sababu sheria za nchi zinaruhusu hilo, hapa tatizo ni ulawiti wala sio miaka ya huyo binti.
 
Upo sahihi kabisa. Huyo binti ni miongoni mwa wale honeypots wa uvccm.
Huoni alivyo na guts za kuelezea kilichomtokea? Na kwanini ataje taje majina ya wengine mara Mtanda mara Samia?
Ni ishara kwamba ni mzoefu na mwingi wa habari. Na wajanja wanamtumia
Hilo la uvccm linawezekana lakini sina ujuzi nalo kwa hilonsiungi mkono. Umalaya na ukahaba hauna chama.
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Pia soma
Yaan unamtaka RC Mwanza atoke, lakin hukuandika uzi kuhusu msomali mwizi mkubwa wa, mabilioni Bashe:Au mwizi mkubwa Mwigulu, au mwizi mkubwa Kipara Makamba.

Achana na hao MaRC hawana effect kwenye uchumi. Mapenz ni nn? Mbona kuna wanawake wanajiuza wazuri tu na wengi.Sasa huyo binti malaya mjinga wa ahead ndio atusababishe watu waache kazi zao, wakati kuna wezi wakubwa wanaoiba pesa za serikali na kufanya watu wawe masikini.
 
Na pia kusema tu kwamba kalawitiwa siyo ushahidi kwamba alilawitiwa. Na ili mahakama ijiridhishe kwamba alilawitiwa, lazima kuwe na ushahidi usio na mashaka. Je, utapatikanaje, maana awali nilisikia mtuhumiwa akidaiwa kusema kwamba jambo hili limepikwa kumchafua. Je, ni upande upi unasema ukweli?
Kesi ipelekwe mahakamani ili ikajulikane kama nani anasema uongo na nani anasema ukweli.
 
Mimi naamini kuwa hajalawitiwa, hivi alilawitiwa kwa kufanywa kwa nguvu?

Mtu atakulawiti vipi kama kweli mwenyewe hutaki?

Huyo binti ni mwongo.
Ndiyo maana tunapendekeza kesi iende mahakamani , kama kweli amedanganya atapigwa maswali kwenye cross examination hadi yale yote aliyofundishwa kusema yatayeyuka kichwani ataishia kulia tu.
 
Hilo la uvccm linawezekana lakini sina ujuzi nalo kwa hilonsiungi mkono. Umalaya na ukahaba hauna chama.
Upo sahihi kabisa. Hata makanisani na misikitini mbona mambo ni mengi. Ni vile tu matukio yanatumika kuinua na kushusha wengine
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Pia soma
Usikute mtanda nae anapenda ndogo kama Nawanda . Anyway Lucas aongee na mama kwani justice delay is justice denial
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Pia soma
Mtanda ni kiongozi duni anayelindwa na Kasimu Majaliwa
 
Huyo binti ni malaya tu.

RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya, alikuwa kishafahamu wana mahusiano.
Hata kama ni malaya,lakini hakubaliani na kitendo cha kulawitiwa,yeye kasema anapenda mbele tu,sasa RC ndiyo aka force kumla tigo kwa nguvu, na kulawiti ni kosa kisheria, hata Mzee Foxy akikulawiti na ukaenda ku report police bado nae tutamkamata ili afikishwe mahakamani kujibu mashitaka yake! Binti ana hoja asikilizwe!!
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Pia soma
Hako kabinti ni kahuni, na kanatumika na chadema
 
Na pia kusema tu kwamba kalawitiwa siyo ushahidi kwamba alilawitiwa. Na ili mahakama ijiridhishe kwamba alilawitiwa, lazima kuwe na ushahidi usio na mashaka. Je, utapatikanaje, maana awali nilisikia mtuhumiwa akidaiwa kusema kwamba jambo hili limepikwa kumchafua. Je, ni upande upi unasema ukweli?
Kama kweli binti Tumsiime alilawitiwa na RC Nwanda, Jinsi kesi hii inavyocheleweshwa kupelekwa mahakamani ndivyo ushahidi wake unavyozidi kuharibika na kuvurugika na kuwa rahisi kwa Tumsiime kupoteza haki yake.
 
Kama wanaodaiwa ni makahaba na Hassan Bomboko wameweza kufikishwa mahakamani kwa haraka sana bila hata kuwa na wateja wao kipi kinashindikana kumfikisha Nawanda mahakamani wakati Tumsiime anayelalamika kulawitiwa yuko tayari kutoa ushahidi wake mahakamani na hadi kuna ushahidi wa miamala ya simu, benki na ushahidi wa meseji na sauti za simu??
Wakati mwingine kama upande wa mashtaka haujapata ushahidi wa kutosha wa kushinda kesi unaweza usiwe na haraka ya kwenda mahakamani. Nani anayetaka aharakishe kwenda mahakamani, halafu kwenye ushahidi ionekane hauna nguvu? Maana upande wa mashtaka nao ukiharakisha kwenda mahakamani halafu mahakama ikatupilia mbali ushahidi, itaonekana as if hawakufanya kazi yao vizuri. Na kwa suala kama hili linahitaji ushahidi mzito, otherwise mshtakiwa anaweza akaibuka kidedea.
 
Wakati mwingine kama upande wa mashtaka haujapata ushahidi wa kutosha wa kushinda kesi unaweza usiwe na haraka ya kwenda mahakamani. Nani anayetaka aharakishe kwenda mahakamani, halafu kwenye ushahidi ionekane hauna nguvu? Maana upande wa mashtaka nao ukiharakisha kwenda mahakamani halafu mahakama ukatupilia mbali ushahidi, itaonekana as if hawakufanya kazi yao vizuri. Na kwa suala kama hili linahitaji ushahidi mzito, otherwise mshtakiwa anaweza akaobuka kidedea.
Hii kesi ya Tumsiime na Nawanda ina ushahidi na vielelezo vingi sana kuliko ya wanaodaiwa kuwa makahaba waliokamatwa na Hassan Bomboko wa Ubongo.
 
Upo sahihi lakini hebu jaribu kugeuza upande wa pili. What if unhekuwa ni wewe umefanya hivyo au ndugu yako halafu kiongozi anajaribu kuku fightia kama hivyo, ungeandika huu uzi? Au undelete uzi wa kumsifia? Au kwa sababu tatizo halijakukuta wewe? Kela sio pazuri ndugu yangu kumbuka
Ukapimwe akili je ingekuwa mwanao ndo kafanyiwa hivo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Mimi kilasiku nitaendelea kumlaumu RC

Kwa heshima na cheo chake hakutakiwa kutoka na watoto under 30

Kuna mashangazi wengi WANAJITAMBUA inamaana hakuwaona ???
RC hapendi Gen X, yeye anapenda Gen Z,na hawa ndiyo habari ya mjini kwa sasa,maana wana mauno kuliko hata wakubwa wao ukiwakuta wanachezesha matako yao kwenye vigodoro!!
 
Binti naye ni Kilanga, malaya, msimbe, dada poa and the like.
Alikuwa mzinzi na msherati na huyo RC siku nyingi. To me, Yote kwa yote acha amlawiti!

She was supposed to be a good student, sasa anahangaika na wanaume anategemea nini?
Kwa hulka ya huyo binti hiyo kesi ikifika mahakamani Nawanda is walking away a free man!
 
Back
Top Bottom