Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Baada ya M/Kiti wa BAVICHA Iringa ,Ndugu Vitus Nkuna kualalmika kuwa Hospitali ya Mkoa ya Shinyanga ina Scarcity ya mitungi ya gesi ya Oksijen na wagonjwa wa Corona kuwa wengi, hatimaye mkuu wa mkoa wa Shinyanga naye amekuja juu na kumtuhum kwa upotoshaje. Pia alikwenda mbali zaidi kwa kutaka hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya Ndugu Vitus. Lakin baaaye tena Katibu huyu wa BAVICHA naye amerudia kauli yake ileile na kumtaja DC wa Shinyanga kuwa anajua kila kitu kuhusu tatizo hilo . Namnukuu hapa chini:
"Narudia tena Hospital ya Mkoa wa Shinyanga Kuna wagonjwa wa #Coronavirus .kuna utata wa Mitungi ya Gesi, Wizara_afyatz na MSD fuatilieni, DC wa Shinyanga Mjini analiewa vizuri. Tunatoa taarifa hizi Kuokoa Maisha ya Ndugu zetu,nimemsikiliza RC wa Shinyanga yy anaokoa ajira yake."- Vitus Nkuna
Ningependa nitoe Rai kwa RC wa SHY kuwasiliana na Ndugu Vitalis apate hizo taarifa kamili , na yeye kwa mamlaka yake afuatilie na kuzifanyia kazi au kuja na feedback ama kukanusha, na si kuhasamiana au kutishiana kuwa watachukuliana hatua. Vivo hivyo namshauri Bwana Vitus ajaribu kuwasilisha kwa mkuu huyo wa mkoa findings zake. Yawezekana kama kawaia yetu kuwa RC anapotoshwa na wasaidizi wake wakati hali ni mbaya.
Tatizo ni letu sote, na tunapaswa kushirikiana kwa kupeana taarifa na kusaidiana kutafuta ufumbuzi na si kulumbana.
Pia soma > RC Sengati: Kiongozi wa CHADEMA aliyesema Shinyanga imeelemewa na wagonjwa wa corona achukuliwe hatua kali za kisheria
"Narudia tena Hospital ya Mkoa wa Shinyanga Kuna wagonjwa wa #Coronavirus .kuna utata wa Mitungi ya Gesi, Wizara_afyatz na MSD fuatilieni, DC wa Shinyanga Mjini analiewa vizuri. Tunatoa taarifa hizi Kuokoa Maisha ya Ndugu zetu,nimemsikiliza RC wa Shinyanga yy anaokoa ajira yake."- Vitus Nkuna
Ningependa nitoe Rai kwa RC wa SHY kuwasiliana na Ndugu Vitalis apate hizo taarifa kamili , na yeye kwa mamlaka yake afuatilie na kuzifanyia kazi au kuja na feedback ama kukanusha, na si kuhasamiana au kutishiana kuwa watachukuliana hatua. Vivo hivyo namshauri Bwana Vitus ajaribu kuwasilisha kwa mkuu huyo wa mkoa findings zake. Yawezekana kama kawaia yetu kuwa RC anapotoshwa na wasaidizi wake wakati hali ni mbaya.
Tatizo ni letu sote, na tunapaswa kushirikiana kwa kupeana taarifa na kusaidiana kutafuta ufumbuzi na si kulumbana.
Pia soma > RC Sengati: Kiongozi wa CHADEMA aliyesema Shinyanga imeelemewa na wagonjwa wa corona achukuliwe hatua kali za kisheria