RC wa Dar es Salaam Amos Makalla nani Kakudanganya kuwa Kiongozi Kushangiliwa na Kuitikiwa na Watu wengi ndiyo Wanamkubali na Kumpenda?

RC wa Dar es Salaam Amos Makalla nani Kakudanganya kuwa Kiongozi Kushangiliwa na Kuitikiwa na Watu wengi ndiyo Wanamkubali na Kumpenda?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
RC wa Dar es Salaam Amos Makalla haimaanishi kuwa Umati mkubwa na Shangwe lao likija Kukusikiliza na Kukuona au kumuona Bosi wako Kitaifa uliyekuwa ukimpamba mno Jana Kigamboni, basi ni Ishara tosha kuwa wanakukubali na wanakupenda.

Zifuatazo ni sababu za Nyongeza za Umati mkubwa wa Watu wanaojitokeza kwenda Kumsikiliza Kiongozi wao...

1. Kukuona tu Mubashara
2. Kuja Kukusanifu zaidi
3. Kulipa Fadhila za Kuwahonga waje
4. Kuthibitisha mapungufu yako wanayoyasikia
5. Kula Ubwabwa wa bure mlioandaa / uliowaandalia
6. Kuja kutafuta Umbea zaidi juu yako
7. Kukuwangia ili Madaraka yakushinde

RC Makalla siku hizi nawe unaniangusha kweli kweli hasa ukiwa ni mwana Simba SC Mwenzangu na mwana Wenge BCBG Mwenzangu ( mpenda Miziki na Misebene ya Congo DR ) je, unakwama wapi?
 
Back
Top Bottom