Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

Kupata taarifa na matukio kuelekea uchaguzi mkuu 2025 kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Sendiga.png

Source: Clouds FM
 
noma sana,

huwa najiuliza ni kwa namna vipi Bi Tozo alipenya mpaka kuwa rais ilhali Dini yake haimruhusu ata kutoa hotuba ndani ya msikiti wa kijiji nakosa majibu.

enyi wanawake, there is no way mtakuja kuishinda nature.!!
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
Amesahau watanzania walichomfanyia uchaguzi wa 2020 ? Hivi alipata kura ngapi wakati anapambana na mwendazake !!!
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
Hawa ni publick leaders? Jesus christ !
 
Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Akili mbovu kabisa, tunachagua kiongozi competent au tunachagua jinsia?
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
Daah chawa bwana
 
Oktoba 2025 wanaume tukija na ajenda ya kuwapiga mashine wanawake , wanawake msianze kulialia.
 
MKATABA MWINGINE BANDARINI NA MISRI WAZUA TAHARUKI YA CHINI KWA CHINI!

Ndugu Watanzania!
Tumepata taarifa kuwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Chuo cha Arab Academy for Science Technology and Maritime Transport (AASTMT) cha Misri wametia sahihi makubaliano ya kushirikiana kutoa mafunzo ya shughuli za kibandari kwa Wafanyakazi.

Kwa mujibu wa taarifa hizo,makubaliano hayo, Tanzania kupitia TPA itapeleka watumishi wake kusoma Misri. Hii haitakuwa scholarships, bali Tanzania itakuwa ikilipia watu wake ada. Hata hivyo, makubaliano hayo yamezua mjadajala mzito miongoni mwa wadau ambao ni pamoja na manahodha wa meli, wahandisi wa meli na wahadhiri katika Chuo cha Ubaharia Tanzania yaanjli Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) ambacho hutoa kozi hizo wakidai kuwa hiyo ni njia ya kukihujumu Chuo hicho. Baadhi ya hoja zao ni hizi:

Matumizi mabaya ya Fedha: Kutuma watumishi nje ya nchi kutagharimu fedha nyingi ambazo zingeweza kuwekezwa katika Chuo cha DMI ili kukiimarisha zaidi.

Kudhoofisha na kudhalilisha vyuo vya ndani: Hatua hiyo itaidhoofisha DMI na kufifisha zaidi ukuaji wake.

Kutelekeza Uchumi wa Blue: Kuimarisha vyuo vya ndani kunaiweka vizuri Tanzania katika kuinua rasilimali za Baharini.

Kukosekana kwa uwazi wa mchakato huo: Kwa kuwa mchakato huo haukuwa wa wazi, kuna maswali kuhusu kama uamuzi huo umebeba manufaa ya umma au una manufaa binafsi.
Wadau wanapendekeza kuwa:

TPA iwekeze zaidi katika Chuo chetu cha DMI kwa kuboresha na kuimarisha mitaala na kama itawezekana kuwaalika wakufunzi kutoka nje ya nchi ili kushusha gharama za Tanzania kupeleka watumishi wake nje. Njia nyingine ni kupeleka kusomesha wahadhiri kwa kozi ambazo hazipo nchini ili wakirudi waanzishe kozi hizo hapa Chuoni kwetu au pia kusomesha wahadhiri nje kwa kozi za PhD.

Wadau wanashangaa uamuzi wa TPA kupeleka vijana kusoma Uhandisi wa Meli nchini Misri wakati DMI ipo na inaheshimika sana hata nchi za Afrika Magharibi wanataka kuja kusoma DMI lakknky TPA wanaona Chuo hiki hakina maana.

Hata hivyo, kwa kuwa wadau hao wengi wao ni waajiriwa wa Serikali wanaogopa kujadiliana kwa uhuru na uwazi huku wengi wakitumiana ujumbe wa maandishi hata kupigiana simu.
Sisi Askofu Mwamakula tulipopata taarifa hizi kupitia kwa mmoja wa wastaafu tumeona ya kuwa ni vizuri tuweke hadharani jambo hili ili kuwapa uhuru wadau kuliweka andiko hili huko katika makundi yao sogozi.

Pamoja na hayo, kwa kuwa baadhi wamehoji juu ya uwazi wa mchakato huo makubaliano hayo, tunashauri mchakato huo uchunguzwe kama ulikidhi vigezo kwa mujibu wa Sheria za nchi yetu kuhusu masuala ya mikataba na nchi au taasisi za kimataifa. Je, kama wadau wakuu wanahoji makubaliano hayo, ni nani aliyeshiriki katika kushauri juu ya jambo hilo?

Je, kulikuwa na ushirikishwaji wowote? Ni nani alihusika kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu hili? Je, kuna shida gani ilijitokeza katika Chuo chetu cha DMI hadi tuingie mikataba ya kutaka kusomesha watumishi katika fani ambazo zipo DMI? Je, mkataba unaeleza ni fani gani na kwa ngazi gani za kusomesha watu kule Misri? Je, mkataba huo unatoa kipindi cha muda gani? Je, mkataba huo unaweza kuwekwa hadharani kwa wadau ili waweze kuusoma na kuuelewa?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 3 Februari 2025; saa 5:20 usiku
 
Katiba mpya inahitajika, kuwe na utaratibu wa kitaalam kupata viongozi sio kuokota okota mwisho wake ndio wanaokotwa na mijusi wa aina hii.
 
Si mliwapigania wanawake
Kwa sera ya women empowerment sasa hayo ndiyo matunda yake

Wameanza kuota mapembe wanawachoma nayo
Mpaka mkome
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
ni muhimu zaidi wasichana na wanawake kuungana pamoja na kumuunga mkono mwanamke mwenzao uongozini, na kwakweli itapendeza zaidi,

well said RC,
Umoja ni nguvu🐒
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
HUYU NI MPUMBAVU
 
Hivi huyu Mama ndiyo alikuwaga mgombea wa Urais kupitia Chama gani katika vile vyama vyetu rafiki 13?

Wanasema anayemlipa mpiga kinanda ndiyo anayechagua aina ya sauti anayotaka kuisikia 🙌
 
hana hoja huyu sijui watu kama hawa wanapitaje pitaje kuongoza jamii ya watanzania yani ni negative kabisa, nashauri watanzania nendeni mkamchague kiongozi mwenye hoja na maono mazuri ya kuwaletea maendeleo na sio sijui huyu mwanaume na huyu mwanamke ni vitu negative sana.
 
Back
Top Bottom