Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani hii nchi inaongozwa kidini?
acha kuandika pumba,

wapi nimeandika nchi inaongozwa kidini? unajua ni kwanini viongozi wanakula viapo kwa bibilia au quran?
that means sio atheist and izo bibles au quran zina binding principles ambazo kwa kila muumini ni lazima kuzifuata na ukizingatia dini ya Bi Tozo iko very strict linapokuja suala la shariah.

there's no way mwanamke anaruhusiwa kushika uongozi wa ngazi ya juu kwa dini ya kiislam, never.!
 
Na sisi wanaune hatuwapigii kura wanawake full stop
 
Na wanaume wakimpigia kura mwanamke watakuwa wamesaliti ajenda ya wanaume??
 
Mambo ya haki sawa hayo ndugu.
Mimi bado sikubaliani nayo ndo maana kwangu bado nafasi ya mwanamke iko palepale
Mwanamke alimfanya Adamu akavurushwa kwenye bustani ya Eden,kuweni macho sana nao. Msiwaruhusu kuvuka mstari.
 
Back
Top Bottom