Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu hutumika vibaya sana - maybe hujiona kuwa hakupasa kushika wadhifa huo
 
Oktoba 2025 wanaume tukija na ajenda ya kuwapiga mashine wanawake , wanawake msianze kulialia.
Sasa mbona unaongea kinyume? Kuwapiga mashine itakuwaje agenda ya kuwaliza wanawake? Hapo ni kuwafurahisha.
Agenda ni KUTOWAPIGA mashine ndo watalialia.
 
Huyu mwanamke naye kakosa la kuongea.. Atulie afanye kazi

Nini tena mambo ya maumbile.. 🤔🤔🤔

Mbona yeye hakupigiwa alipowania urais!!!!
 
noma sana,

huwa najiuliza ni kwa namna vipi Bi Tozo alipenya mpaka kuwa rais ilhali Dini yake haimruhusu ata kutoa hotuba ndani ya msikiti wa kijiji nakosa majibu.

enyi wanawake, there is no way mtakuja kuishinda nature.!!
Ukweli ndo huo.Huwezi kushindana na nature ila hata kama ni nature huyu kazidi jamani,sio kwa kudolola huko
 
hana hoja huyu sijui watu kama hawa wanapitaje pitaje kuongoza jamii ya watanzania yani ni negative kabisa, nashauri watanzania nendeni mkamchague kiongozi mwenye hoja na maono mazuri ya kuwaletea maendeleo na sio sijui huyu mwanaume na huyu mwanamke ni vitu negative sana.
Pamoja na hayo ila mi niko tofauti kidogo nadhani jinsia ya ke hawapaswi kuchukua nafasi za juu kabisa za uongozi.
Sababu zangu sitazitaja
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Source: Clouds FM
😲😲😲
 
Pamoja na hayo ila mi niko tofauti kidogo nadhani jinsia ya ke hawapaswi kuchukua nafasi za juu kabisa za uongozi.
Sababu zangu sitazitaja
Wanaume wa TZ mliwabeba kwa kisingizio cha kuwawezesha sasa wanabweteka. Kazi kwenu.
 
Wanaume wa TZ mliwabeba kwa kisingizio cha kuwawezesha sasa wanabweteka. Kazi kwenu.
Mambo ya haki sawa hayo ndugu.
Mimi bado sikubaliani nayo ndo maana kwangu bado nafasi ya mwanamke iko palepale
 
Mabingwa wa kuhubiri haki sawa duniani ni Marekani. Nenda kaangalie kwenye nafasi za maamuzi wamejaza jinsia ipi.

Marekani anawaingiza chaka.
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Source: Clouds FM
Nimsaidie Malkia kuboresha hoja yake. By extension Malkia anasema, atashangaa muislam kumpigia kura asiye muislamu kwani kufanya hivyo ni kusaliti ajenda ya waislamu. Malkia anashangaa mkristo kumpigia kura asiye mkristo kwani kufanya hivyo ni kusaliti ajenda yao. Kadhalika anashangaa mtu wa bara kumpigia kura asiye wa bara (na kinyume chake) na msukuma/mchaga/mnyaturu… kumpigia kura asiye msukuma/mchaga/mnyaturu… Hoja kama hizi zinaweza kufumbiwa masikio na viongozi kwa kuona zinawanufaisha kisiasa, lakini madhara yake huko tuendako ni makubwa na hatari mno. Tukiwachekea hawa walamba viatu tutajikuta tumejitegea bomu kama taifa. Ubaguzi ni ubaguzi, uwe wa kijinsia, kidini au kikabila.
Imagine huyo ni Kiongozi, wananchi je wakoje
 
MKATABA MWINGINE BANDARINI NA MISRI WAZUA TAHARUKI YA CHINI KWA CHINI!

Ndugu Watanzania!
Tumepata taarifa kuwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Chuo cha Arab Academy for Science Technology and Maritime Transport (AASTMT) cha Misri wametia sahihi makubaliano ya kushirikiana kutoa mafunzo ya shughuli za kibandari kwa Wafanyakazi.

Kwa mujibu wa taarifa hizo,makubaliano hayo, Tanzania kupitia TPA itapeleka watumishi wake kusoma Misri. Hii haitakuwa scholarships, bali Tanzania itakuwa ikilipia watu wake ada. Hata hivyo, makubaliano hayo yamezua mjadajala mzito miongoni mwa wadau ambao ni pamoja na manahodha wa meli, wahandisi wa meli na wahadhiri katika Chuo cha Ubaharia Tanzania yaanjli Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) ambacho hutoa kozi hizo wakidai kuwa hiyo ni njia ya kukihujumu Chuo hicho. Baadhi ya hoja zao ni hizi:

Matumizi mabaya ya Fedha: Kutuma watumishi nje ya nchi kutagharimu fedha nyingi ambazo zingeweza kuwekezwa katika Chuo cha DMI ili kukiimarisha zaidi.

Kudhoofisha na kudhalilisha vyuo vya ndani: Hatua hiyo itaidhoofisha DMI na kufifisha zaidi ukuaji wake.

Kutelekeza Uchumi wa Blue: Kuimarisha vyuo vya ndani kunaiweka vizuri Tanzania katika kuinua rasilimali za Baharini.

Kukosekana kwa uwazi wa mchakato huo: Kwa kuwa mchakato huo haukuwa wa wazi, kuna maswali kuhusu kama uamuzi huo umebeba manufaa ya umma au una manufaa binafsi.
Wadau wanapendekeza kuwa:

TPA iwekeze zaidi katika Chuo chetu cha DMI kwa kuboresha na kuimarisha mitaala na kama itawezekana kuwaalika wakufunzi kutoka nje ya nchi ili kushusha gharama za Tanzania kupeleka watumishi wake nje. Njia nyingine ni kupeleka kusomesha wahadhiri kwa kozi ambazo hazipo nchini ili wakirudi waanzishe kozi hizo hapa Chuoni kwetu au pia kusomesha wahadhiri nje kwa kozi za PhD.

Wadau wanashangaa uamuzi wa TPA kupeleka vijana kusoma Uhandisi wa Meli nchini Misri wakati DMI ipo na inaheshimika sana hata nchi za Afrika Magharibi wanataka kuja kusoma DMI lakknky TPA wanaona Chuo hiki hakina maana.

Hata hivyo, kwa kuwa wadau hao wengi wao ni waajiriwa wa Serikali wanaogopa kujadiliana kwa uhuru na uwazi huku wengi wakitumiana ujumbe wa maandishi hata kupigiana simu.
Sisi Askofu Mwamakula tulipopata taarifa hizi kupitia kwa mmoja wa wastaafu tumeona ya kuwa ni vizuri tuweke hadharani jambo hili ili kuwapa uhuru wadau kuliweka andiko hili huko katika makundi yao sogozi.

Pamoja na hayo, kwa kuwa baadhi wamehoji juu ya uwazi wa mchakato huo makubaliano hayo, tunashauri mchakato huo uchunguzwe kama ulikidhi vigezo kwa mujibu wa Sheria za nchi yetu kuhusu masuala ya mikataba na nchi au taasisi za kimataifa. Je, kama wadau wakuu wanahoji makubaliano hayo, ni nani aliyeshiriki katika kushauri juu ya jambo hilo?

Je, kulikuwa na ushirikishwaji wowote? Ni nani alihusika kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu hili? Je, kuna shida gani ilijitokeza katika Chuo chetu cha DMI hadi tuingie mikataba ya kutaka kusomesha watumishi katika fani ambazo zipo DMI? Je, mkataba unaeleza ni fani gani na kwa ngazi gani za kusomesha watu kule Misri? Je, mkataba huo unatoa kipindi cha muda gani? Je, mkataba huo unaweza kuwekwa hadharani kwa wadau ili waweze kuusoma na kuuelewa?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 3 Februari 2025; saa 5:20 usiku
Sasa si ungeanzishia uzi wake????
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Source: Clouds FM
Hivi huyu mdada uwa anasikilizwa kweli na wananchi?
 
Ila viongozi wa chukuwachakomapema wa sasa sijuwi wanachaguliwa kwa vigezo gani?!
INASIKITISHA SANA SANA!
 
MKATABA MWINGINE BANDARINI NA MISRI WAZUA TAHARUKI YA CHINI KWA CHINI!

Ndugu Watanzania!
Tumepata taarifa kuwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Chuo cha Arab Academy for Science Technology and Maritime Transport (AASTMT) cha Misri wametia sahihi makubaliano ya kushirikiana kutoa mafunzo ya shughuli za kibandari kwa Wafanyakazi.

Kwa mujibu wa taarifa hizo,makubaliano hayo, Tanzania kupitia TPA itapeleka watumishi wake kusoma Misri. Hii haitakuwa scholarships, bali Tanzania itakuwa ikilipia watu wake ada. Hata hivyo, makubaliano hayo yamezua mjadajala mzito miongoni mwa wadau ambao ni pamoja na manahodha wa meli, wahandisi wa meli na wahadhiri katika Chuo cha Ubaharia Tanzania yaanjli Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) ambacho hutoa kozi hizo wakidai kuwa hiyo ni njia ya kukihujumu Chuo hicho. Baadhi ya hoja zao ni hizi:

Matumizi mabaya ya Fedha: Kutuma watumishi nje ya nchi kutagharimu fedha nyingi ambazo zingeweza kuwekezwa katika Chuo cha DMI ili kukiimarisha zaidi.

Kudhoofisha na kudhalilisha vyuo vya ndani: Hatua hiyo itaidhoofisha DMI na kufifisha zaidi ukuaji wake.

Kutelekeza Uchumi wa Blue: Kuimarisha vyuo vya ndani kunaiweka vizuri Tanzania katika kuinua rasilimali za Baharini.

Kukosekana kwa uwazi wa mchakato huo: Kwa kuwa mchakato huo haukuwa wa wazi, kuna maswali kuhusu kama uamuzi huo umebeba manufaa ya umma au una manufaa binafsi.
Wadau wanapendekeza kuwa:

TPA iwekeze zaidi katika Chuo chetu cha DMI kwa kuboresha na kuimarisha mitaala na kama itawezekana kuwaalika wakufunzi kutoka nje ya nchi ili kushusha gharama za Tanzania kupeleka watumishi wake nje. Njia nyingine ni kupeleka kusomesha wahadhiri kwa kozi ambazo hazipo nchini ili wakirudi waanzishe kozi hizo hapa Chuoni kwetu au pia kusomesha wahadhiri nje kwa kozi za PhD.

Wadau wanashangaa uamuzi wa TPA kupeleka vijana kusoma Uhandisi wa Meli nchini Misri wakati DMI ipo na inaheshimika sana hata nchi za Afrika Magharibi wanataka kuja kusoma DMI lakknky TPA wanaona Chuo hiki hakina maana.

Hata hivyo, kwa kuwa wadau hao wengi wao ni waajiriwa wa Serikali wanaogopa kujadiliana kwa uhuru na uwazi huku wengi wakitumiana ujumbe wa maandishi hata kupigiana simu.
Sisi Askofu Mwamakula tulipopata taarifa hizi kupitia kwa mmoja wa wastaafu tumeona ya kuwa ni vizuri tuweke hadharani jambo hili ili kuwapa uhuru wadau kuliweka andiko hili huko katika makundi yao sogozi.

Pamoja na hayo, kwa kuwa baadhi wamehoji juu ya uwazi wa mchakato huo makubaliano hayo, tunashauri mchakato huo uchunguzwe kama ulikidhi vigezo kwa mujibu wa Sheria za nchi yetu kuhusu masuala ya mikataba na nchi au taasisi za kimataifa. Je, kama wadau wakuu wanahoji makubaliano hayo, ni nani aliyeshiriki katika kushauri juu ya jambo hilo?

Je, kulikuwa na ushirikishwaji wowote? Ni nani alihusika kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu hili? Je, kuna shida gani ilijitokeza katika Chuo chetu cha DMI hadi tuingie mikataba ya kutaka kusomesha watumishi katika fani ambazo zipo DMI? Je, mkataba unaeleza ni fani gani na kwa ngazi gani za kusomesha watu kule Misri? Je, mkataba huo unatoa kipindi cha muda gani? Je, mkataba huo unaweza kuwekwa hadharani kwa wadau ili waweze kuusoma na kuuelewa?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 3 Februari 2025; saa 5:20 usiku
Acheni vijana wakapate maujuzi, Mnavyuo hapa chungu nzima vimewasaidia nini? Acheni tujaribu na vya wenzetu labda baadaye wahitimu watakuja kutufunza namna bora ya kuendesha mafunzo yetu wenyewe. Siyo kila kitu ni kibaya kwa sababu anafanya Samia.

Siipendi CCM na watu wake lakini hili la vijana wetu kupata mafunzo nje nalikubali, kwasababu DMI imekuwepo miaka mingi lakini graduate wake hawaonyeshi taaluma kwenye maeneo yao, acheni tupeleke vijana nje wapate maujuzi.

Samia alipata pesa za wafadhili amepeleka madaktari wa fani tofauti nje kupata mafunzo, wapo waliorudi lakini pia wapo ambao bado wako masomoni, waliorejea wanafanya vizuri kwa vifaa walivyopata.
Kwenye hili mimi naungana na Samia, Hatakama mwanakondoo ameshinda na ashinde tu, lakini acheni vijana wakasome.

Msimpigie kura lakini msifubaze vijana wetu kusoma vyuo ambavyo kila siku graduate wanakuwa na maarifa yale yale tu.

Mimi hata akipeleka vijana kujifunza kupika nje nitamuunga mkono, kila siku tunasomeshana humu humu halafu hatuwezi chochote, acheni siasa kwenye mambo ya msingi.
 
Mabingwa wa kuhubiri haki sawa duniani ni Marekani. Nenda kaangalie kwenye nafasi za maamuzi wamejaza jinsia ipi.

Marekani anawaingiza chaka.
Hata China walikofanyia Beiging Cofference of Women ukiangalia mkutano wao Mkuu utaona Wanaume ni zaidi ya asilimia 90% na kama ulivosema USA Wanaume kwenye Senate na Congress ni almost asilimia 80% mpaka 90%.
Ila Miafrika inadanganyika ili iharibu familia na maendeleo!
Mwanaume ndo mzalishaji na mjengaji wa maendeleo mengine kelele tu!
 
Back
Top Bottom